Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
We unabishana na kigogo[emoji28][emoji28]
Mama bado yupo anaendelea vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama bado yupo anaendelea vizuri
Wachawi wamejua kutuvuruga na hii corona we acha tuUkichunguza sana unaweza kuta kifo kina mkono wa mtu
68? DuuhHapana anezaliwa 1968 na hao watoto yupo wakike mkubwa wao
Ndomaana mabasi yake mbele yameandikwa 1915-2015, inamaanisha mzee wake aliishi miaka 100anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Teh teh[emoji1787][emoji16][emoji16]Tajiri huku Jf unafata nini,unafikiri Tajiri ana muda wa kuscrow down huu undezi tunaojibishana humu.
UchawiNi changamoto ya upumuaji ama?
Umeipata wapi mkuu? Insta?Picha hii anaonekana kaenda Age tofauti na ya MwanzoView attachment 1467852
We unabishana na kigogo[emoji28][emoji28]
Semeni ukweli je mke bado yuko hai?
Aisee poleni sana.
Hanga?
Nitaweka video hapa nikuumbue wewe. Unajua unachoandika?Asante mkuu
Mama naye kafariki mchana huu, habari ya uhakika kabisaHajui hilo mama mzima
Corona hiyoMmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Mungu awatie nguvu wanafamilia,ni ngumu sanaMama naye kafariki mchana huu, habari ya uhakika kabisa