chonjo Nation
Member
- Apr 25, 2020
- 48
- 43
ndiyo ndiyo mkuu mzigo mkali sanaaIle Pale juu ya Mwamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo ndiyo mkuu mzigo mkali sanaaIle Pale juu ya Mwamba?
mlipewa tumaini kwa namna gani mkuu, sisi ambao hatujabahatika kuiona hiyo nyumba tunaweza kujifunza nini?alitupa matumain vijana kuwa hela inaweza jenga popote wanaojua nyumba yake ya marangu watakuwa wanaelewa
Anaendelea vizuri kabisa, afya yake imeimarika sanaJe mke wake anaendeleaje?
Mungu ampe nafuu!
Ashukuriwe Mungu,. Jina lake lihimidiwe.Anaendelea vizuri kabisa, afya yake imeimarika sana
Uwe unasoma comments za watu kabla ya kuandika chochote humu.Pole kwa wafiwa nasikia upumuaji ulisumbua na mke nae kamfata my sweat wake
Asante sana mKuuPoleni sana wafiwa
Aisee Nimejikuta nalia jamani inamaana na mke wake kafariki kweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hata sijaona jina lake kokote.Apumzike kwa amani.
Ila huyu Baba hana jina kweli? Nimepitia habari nyingi wanaandika Mmiliki wa mabasi ya Marangu.
Kila mmoja atumie akili yake.Corona ipo na maambukizi yanazidi kushika kasi. Usisikilize maneno ya wanasiasa washenzi wasio na huruma na maisha ya binadamu wenzio.
Dah YESU NI MUNGUAnaendelea vizuri kabisa, afya yake imeimarika sana
Job alisemaga kauli moja nzuri mno,naitafakarigi sana,na wote tumezaliwa na mwanamkeBinadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake za kuishi si nyingi sana hapa duniani - by Job (Ayubu)
Ww ni mfiwa !!?Asante sana mKuu
Kuna maandiko machache sana yamemtaja nimeyaona ila waandishi wengi hawamtaji jina lake sijajua ni kwa nini.Hata sijaona jina lake kokote.
Mh kuna sehemu nimeona wanasema anaitwa Dunia nani sijui............. nimeshika tu jina la kwanza.... DuniaHata sijaona jina lake kokote.
Dunia James Moshi.Mh kuna sehemu nimeona wanasema anaitwa Dunia nani sijui............. nimeshika tu jina la kwanza.... Dunia
Jina linakusaidia nn?Hata sijaona jina lake kokote.