TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

kingsang664

New Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
2
Reaction score
18
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
12FA84EB-F7A3-4A4A-A3CC-3DF396540917.jpeg
 
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001

Poleni sana kwa msiba. Kwa huu urefu, atakuwa mkinga. RIEP Mfanyabiashara wa mabasi. Mbele yetu, sisi twaja nyuma mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom