TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

Inanikumbusha kipindi cha likizo pale Malangali, Mwendamseke ndio ulikuwa usafiri wetu ile unamaliza pepa kitu kinanguruma hapo mjini state

Apumzike kwa amani
Malangali mwaka gani? maana enzi zetu ilikuwa hakuna basi zaidi ya mkombozi tu nalo linakuja jioni na kusepa asubuhi na likisepa linalala town mpaka kesho yake dah enzi ile balaa tupu. Nimemaliza A level mwaka 99 pale ndio waanzilishi wa A level.
 
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Umeumaliza mwendo Papaa, pumziko la milele.
 
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
R.I.P gentleman 🤭
 
Malangali mwaka gani? maana enzi zetu ilikuwa hakuna basi zaidi ya mkombozi tu nalo linakuja jioni na kusepa asubuhi na likisepa linalala town mpaka kesho yake dah enzi ile balaa tupu. Nimemaliza A level mwaka 99 pale ndio waanzilishi wa A level.
Hongera mkuu, mimi ilikuwa intake ya 2014 wakati huo mkuu alikuwa mzee Ngunyali sijui asaivi ni nani
 
Moja kati ya matajiri wa Nyanda za Juu Kusini ambao walifaidi matunda ya utajiri wao, basi na huyu jamaa hakosi. Kiufupi alikuwa ni mtu wa bata sana. Na akifika bar na jamaa zake, ilikuwa ni kawaida sana kuwagundua. Maana fujo ziilikuwa ni nyingi sana.

Rest in peace Comrade.
 
Back
Top Bottom