TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Pole sana ndugu, jamaa, marfiki na abiria wa Mwendamseke. RIP Mwendamseke.
 
Mali si chochote bali ni mapambo ya dunia tu...Ona jamaa kafariki na kuacha mali zake wakizigombea watu wengine.

Matendo mema ndio yenye kubaki. Kama umejaaliwa mali nenda sehemu watu wanashida za maji wachimbie visima, saidia mayatima,wajane,wagonjwa,wasafiri, mafukara ili ujiwekee akiba huko uendako.
 
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Hilo jina mhh
 
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Atakufa alhamis na kuzikwa j2? Au sijafahamu?
 
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili

Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
punje zilikuwa chache

JESUS is Lord
 
Back
Top Bottom