steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Sawa bloanguAcha uchuro wako , watu walijipambania wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bloanguAcha uchuro wako , watu walijipambania wenyewe
Huu uzi asipotajwa jogoo au kuku haujakamilika.Nasubiri baadhi ya COMMENTS hapa
Kumbuka kuna Alhamisi na Jumapili karibu 54 kwa mwaka, sasa ni Alhamisi na Jumapili zipiafariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Hili jina lina maana fulani kwa kilugha cha huko nimesahauMwendamseke
Pole sana ndugu, jamaa, marfiki na abiria wa Mwendamseke. RIP Mwendamseke.Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Ningeshangaa sanaa kukosa commets kama hiiDaaaah alaumiwe Jogoo kwa kula punje chache kmmqe
Hilo jina mhhMmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
kwani hayo mambo bado yapo?...Daaaah alaumiwe Jogoo kwa kula punje chache kmmqe
Kama za jamaa alikuwa na pesa za uchawi kwamba anaoza mwili mzima huku wale funza wanageuka pesa? Au kwamba za kuua ndugu zake?Nasubiri baadhi ya COMMENTS hapa
Atakufa alhamis na kuzikwa j2? Au sijafahamu?Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
kuhusu Liverpool na punje?Nasubiri baadhi ya COMMENTS hapa
punje zilikuwa chacheMmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Ndio mawazo ya Masikini hayaAlisahau kumeza pipi .wakiambiwa wapunguze kula totozi peku hawaelewi.
RIP CLASSMATE!! NIMEONA NIMUWAHI USHMEN
Aisee... 😞😞😞Daaaah alaumiwe Jogoo kwa kula punje chache kmmqe