blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Yes!R.I.P
Japo sijaelewa kidogo mtoa post hii post ni ya Leo , unasema amefariki alihamisi kuzika jumapili unamaanisha , msiba ulishapita Toka week iliyopita au ?
Maana Leo ni jnne.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes!R.I.P
Japo sijaelewa kidogo mtoa post hii post ni ya Leo , unasema amefariki alihamisi kuzika jumapili unamaanisha , msiba ulishapita Toka week iliyopita au ?
Maana Leo ni jnne.
Na alikuwa na mjengo matata pale Maka, duh niliuona..duh kauacha??? Kweli dunia tunapita na tunaacha kila kituMali si chochote bali ni mapambo ya dunia tu...Ona jamaa kafariki na kuacha mali zake wakizigombea watu wengine.
Matendo mema ndio yenye kubaki. Kama umejaaliwa mali nenda sehemu watu wanashida za maji wachimbie visima, saidia mayatima,wajane,wagonjwa,wasafiri, mafukara ili ujiwekee akiba huko uendako.
Yaende wapi,yapookwani hayo mambo bado yapo?...
Sijui kwanini hawafiki uzeeniMmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001
Mkuu umewaza kweli!! Kijana akishapata mafanikio makubwa sijui ni starehe au uadui au uzembe huongezeka!! Wanajisahau..au shortcut effects..yani kufanikiwa mapema kuna unasaba na kufa mapema..japo sio kwa wote..ila wapo pia wanaishi mda ila mzee wao wengiwao wanakuwa tena choka mbaya..inabaki alikuwaga enzi zake..ila akina sie kila siku bora ya jana..haaahSijui kwanini hawafiki uzeeni
Mkataba wake umefika mwisho.Nasubiri baadhi ya COMMENTS hapa
Karibu Tunduma..ℎ𝑖𝑣𝑖 ℎ𝑖𝑧𝑖 𝐼𝑚𝑎𝑛𝑖 𝑠𝑖𝑗𝑢𝑖 𝑧𝑎 𝐽𝑜𝑔𝑜𝑜 𝑛𝑖 ℎ𝑎𝑙𝑖𝑠𝑖?
Huku vijana wanapasua pasua balaaKaribu Tunduma..
Maana yake ni ndugu yanguMnyalukolo ni nini?
Hivi huwa mnaanisha nini mkisema punje zilikuwa chache hebu tuelewesheni na sisi wa isimikinyi tuelewepunje zilikuwa chache
JESUS is Lord
Yah sisi ni wakinga😢Poleni sana kwa msiba. Kwa huu urefu, atakuwa mkinga. RIEP Mfanyabiashara wa mabasi. Mbele yetu, sisi twaja nyuma mdogo mdogo