kingsang664
New Member
- Jan 21, 2024
- 2
- 18
Acha uchuro wako , watu walijipambania wenyeweDaaaah alaumiwe Jogoo kwa kula punje chache kmmqe
Za kwamba mwendazake alikuwa na utajiri wa ushirikina!?Nasubiri baadhi ya COMMENTS hapa
afya ni mtaji...self displin ni muhimu uwapo na pesaNasubiri baadhi ya COMMENTS hapa
Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke yanayofanya usafirishaji kutokea Njombe kwenda Iringa na Njombe kwenda Mbeya (Mwendamseke safaris) afariki dunia siku Alhamisi na kuzikwa siku ya Jumapili
Sisi kama WanaJF tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huo. Mungu ametoa na Mungu ametwaa ameen.
View attachment 3156001