TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Mwendamseke afariki dunia

Na alikuwa na mjengo matata pale Maka, duh niliuona..duh kauacha??? Kweli dunia tunapita na tunaacha kila kitu
 
Sijui kwanini hawafiki uzeeni
 
Sijui kwanini hawafiki uzeeni
Mkuu umewaza kweli!! Kijana akishapata mafanikio makubwa sijui ni starehe au uadui au uzembe huongezeka!! Wanajisahau..au shortcut effects..yani kufanikiwa mapema kuna unasaba na kufa mapema..japo sio kwa wote..ila wapo pia wanaishi mda ila mzee wao wengiwao wanakuwa tena choka mbaya..inabaki alikuwaga enzi zake..ila akina sie kila siku bora ya jana..haaah
 
β„Žπ‘–π‘£π‘– β„Žπ‘–π‘§π‘– πΌπ‘šπ‘Žπ‘›π‘– 𝑠𝑖𝑗𝑒𝑖 π‘§π‘Ž π½π‘œπ‘”π‘œπ‘œ 𝑛𝑖 β„Žπ‘Žπ‘™π‘–π‘ π‘–?
 
Karibu Tunduma..
 
Dahhh.....
R.i.P Classmate, ilikua ghafla sana....πŸ˜₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…