Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Yalikua ya Songea to Dom na Songea- Dar ila karibuni kampuni ilikua imesitisha huduma ya usafirishaji sikufatilia sababu lakin ilikua ni kampuni nzuri sana.Tavavili ni mabasi ya kutoka mkoa gan kwenda mkoa upi?
Kuna Root ya Dar To Songea, pia Dom To Songea, pia Wana Root ya Katoro To Tinde.Tavavili ni mabasi ya kutoka mkoa gan kwenda mkoa upi?
Hizo gari zilikua zimeishawashinda toka mwanzo. Bado zipo sokon kuuzwa hazipati wateja. Ila naona Best line amenunua bahadhi anaanzisha root ya Dar to Musoma akapambane na Kaprocon [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Yalikua ya Songea to Dom na Songea- Dar ila karibuni kampuni ilikua imesitisha huduma ya usafirishaji sikufatilia sababu lakin ilikua ni kampuni nzuri sana.
Dar-lindi-masasi_songea mkuuTavavili ni mabasi ya kutoka mkoa gan kwenda mkoa upi?
Mikopo.....Yalikua ya Songea to Dom na Songea- Dar ila karibuni kampuni ilikua imesitisha huduma ya usafirishaji sikufatilia sababu lakin ilikua ni kampuni nzuri sana.
Yes ni kampuni nzuri Sana mengine yalikuwa yanatoka dar songea kupitia lindiYalikua ya Songea to Dom na Songea- Dar ila karibuni kampuni ilikua imesitisha huduma ya usafirishaji sikufatilia sababu lakin ilikua ni kampuni nzuri sana.
Jamaa walikuwa na root ñyingi sana AiseeeehYes ni kampuni nzuri Sana mengine yalikuwa yanatoka dar songea kupitia lindi