Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
pole kwa wafiwa,tavavili manake wapo wawili.Wakuu Mmiliki wa Mabasi ya Tavavili Ndugu Max Komba Amefariki Dunia Jana usiku.
.
Bwana Komba alikuwa anasumbuliwa na Kisukari Kwa Mda Mrefu.
.
Bwana Ametoa na Bwana ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe View attachment 2386935
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app