Mczigga
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 722
- 1,272
Dah ni huzuni kwa kweli.Mikopo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ni huzuni kwa kweli.Mikopo.....
Kwahiyo masikini wana afya tele 🤣Hakuna tajiri nimewahi kusikia ana afya imara, yaani ni kisukari,ugonjwa WA moyo n.k, WHY??
😆😆😆Kwahiyo masikini wana afya tele 🤣
Zamani mwaka 2020 na 2021 katika yalikuwa yanatoka Dodoma to songea au songea to dodoma vs iringa to mteraTavavili ni mabasi ya kutoka mkoa gan kwenda mkoa upi?
Hakusitisha alihama njia kwa sababu ya Super FeoYalikua ya Songea to Dom na Songea- Dar ila karibuni kampuni ilikua imesitisha huduma ya usafirishaji sikufatilia sababu lakin ilikua ni kampuni nzuri sana.
Wakuu Mmiliki wa Mabasi ya Tavavili Ndugu Max Komba Amefariki Dunia Jana usiku.
.
Bwana Komba alikuwa anasumbuliwa na Kisukari Kwa Mda Mrefu.
.
Bwana Ametoa na Bwana ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe View attachment 2386935
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Biashara ya usafirishaji hasa mabasi bado ni changamoto, wengi wanakuja kwa kasi na kupotea.Dah zilikua basi nzuri ila naona walikua na changamoto ya management, nilipanda Njombe kwenda Dodoma likaisha Mafuta 30km kabla ya kufika Dodoma. Siku nyingine likafia mwanzoni mwa Iringa ikabidi tufaulishwe....nilipanda haya mabasi mara tatu hadi sasa na siku zote yalikua na changamoto. Anyway pumzika kwa Amani Mzee Komba
Ni wazi kabisaBiashara ya usafirishaji hasa mabasi bado ni changamoto, wengi wanakuja kwa kasi na kupotea.
Management za Abood na Shabiby ziko vizuri sana, hawa jamaa wanastahili pongezi. Kwa sasa ndio kampuni kongwe kwenye usafirishaji ambazo hazijawahi kutetereka kwenye utoaji wa huduma.
Mara ya mwisho dodoma nilipita na hakuwa na gari inayoenda kule amebaki Feo peke yake,,, labda route ya Dar ndio alihama.Hakusitisha alihama njia kwa sababu ya Super Feo
Shida kubwa nyingine alikua na bus chache yan ile tupa geuka asubúhi yake, mwanzoni alianza vizuri sana sababu gari zake zilikua na huduma nzuri sana ila hazikudumu sana zimepotea.Dah zilikua basi nzuri ila naona walikua na changamoto ya management, nilipanda Njombe kwenda Dodoma likaisha Mafuta 30km kabla ya kufika Dodoma. Siku nyingine likafia mwanzoni mwa Iringa ikabidi tufaulishwe....nilipanda haya mabasi mara tatu hadi sasa na siku zote yalikua na changamoto. Anyway pumzika kwa Amani Mzee Komba
Inshu pia nimanajmenti ikawa vizyur Mbna faida utaiptaa, Jpo Kwa presha... Ila wapigadebe ni balaa sana, anaweza chukua 5000 Kwa kila abiria.... Bila kuwekeza chochoteBiashara za Mabasi wanao nufaika ni Maa Agent wale, Kondakita na Dereva wake na Trafik, Tajiri ni shida tupu