Mmoja Afariki, Wanne Walazwa Wakishindana Kunywa Pombe Moshi

Mmoja Afariki, Wanne Walazwa Wakishindana Kunywa Pombe Moshi

Hao jamaa kilichowaua sio Kwamba wamekunywa pombe feki ila kitaalamu kilichomuua uyo jamaa ni ALCOHOL OVERDOSE ndio MAANA wanasemaga KUNYWA POMBE KUPITA KIASI NI HATARI KWA AFYA YAKO ATA BIA UKINYWA NYINGI ZINAKUUA PIA KWAIYO.MSITAKE KUHARIBU BRAND YA WATU HAO JAMAA WAMEJI OVERDOSE
Kile kidude hakijawahi mkuu. Ukipiga funda unasikia kabisa huko ini linalalamika
 
Yale ya kunywa bapa Kwa mkupuo si yalipigwa ban na yenyewe. Maana mshindani anavyoshusha chupa na yeye alikuwa anashuka chini. HATARI SANA MAISHA HAYA.
 
Haha wachaga bhana ,Kuna jamaa alikufakaga aliwekewa laki akasema mi bapa la konyagi na piga fundo moja A.K.A gudugudu akapiga fundo kweli kamaliza baada ya dakika moja ebhana niwekeeni kiti nikae kumbe ndio kalala jumla ..
.All in all pombe hazihitaji mashindano
Binafsi ni mnywaji sana wa pombe, lakini pombe ukuinywa haraka kama maji, lazima ikupeleke haraka sana.
 
Nakumbuka Kuna miaka ya 2008-10 kulikuwa na mashindano ya kukaa kwenye chumba chenye joto Kali, ulimwenguni huko, aiseee huu upumbavu siyo huku tu, alikufa mtu. Chumba kilikuwa na nyuzi joto 120. Aisee Dunia Ina mambo hii.
 
Kuna ile series ya Korean ilizungumzia jinsi binadamu wa sasa anavyoweza kuuza utu wake kwaajili ya tamaa ya pesa, Mule watu wanakufa kama kuku.
 
Back
Top Bottom