Mmoja anielezee hiki kikokotoo cha mkopo NMB

Kinachonisikitisha ni kwamba anayekopa ni Mteja wa NMB, Ameacha kuuliza hzo calculations uko amekuja kuuliza JF!!!
Ninachokijua kabla ya kupewa pesa hesabu zote, masharti yote na maelezo ya kutosha Mteja anapatiwa sasa sijaelewa Unakwama wapi na Bado muda unao kwenda office zilizo jirani nawe na kuuliza... Ikiwa hautaki hzo calculations basi USIKOPE MBONA SIMPLE TU..
 
Bahati mbaya ukifariki, au kama ni mfanyakazi, ukisimamishwa au kufukuzwa kazi, ina cover
 
Nadhani kaja kushea uzoefu,,, masna imekua faida kwa wengine, tuliokua hatujui kitu kuhusu mikopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…