Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Pikipiki ziondoshwe zimekuwa ni dhana nyeti ktk shuhuli za kijambazi pia nawaasa watanzania kuachana na dhana ya kizamani ya kupeana fedha ktk maboksi watumie benki zetu au itungwe sheria ya kiwango cha ukomo cha fedha anachotakiwa mtu kuwa nacho mitaani lets say top milioni 1 zaidi ya hapo iwe ni kosa kisheria
 
Kusafirisha fedha nyingi bila wanausalama ni kuhatarisha maisha yako. Zama hizi kuna kampuni za ulinzi zinazosafirisha fedha kwa bei nafuu kabisa at their own risk. mf ULTIMATE SECURITY.
 
kuna wale polisi WA pikipiki alimaarufu kama TIGO hii ndio KAZI yao but wao wamegeuka na kuchukua KAZI ya traffic.

mji kama daa hauna hata camera kwenye mataa??
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi

ndo nn sasa? bodaboda wakale kwako? halafu unasikitika eti 'inauma sana' huku ukisisitiza zikionekana zipigwe risasi..!!!
 
kuna wale polisi WA pikipiki alimaarufu kama TIGO hii ndio KAZI yao but wao wamegeuka na kuchukua KAZI ya traffic.

mji kama daa hauna hata camera kwenye mataa??
wale tigo wao ni rushwa tuu ndo wanachodili nacho.. omba usikutane nao.
 
1398833462863.jpg
 
Matukio ya unyang’anyi wa fedha kwa kutumia silaha wakati wa mchana kwa sasa katika jiji la Dar es salaam yamekuwa ni mengi sana. Kinachowafanya watu hawa kutumia usafiri wa pikipiki ni kutafuta wepesi wa kukimbia na kupenya hata vichochoroni kwa urahisi ili wasiweze kukamatwa. Lakini pia wakitambua kabisa kwa kitendo cha kuwa na silaha wananchi wa kawaida hawawezi kuthubutu kufanya ufuatiliaji wa aina yyte ile kwa kuhofia kipigwa risasi. Kwa kweli siwezi kuwatupia lawama jeshi la polisi kwa kushindwa kudhibiti matukio haya ingawa ni wajibu wao na kazi yao kuhakikisha usalama wa raia na mali zao vyote vinalindwa. Sababu kwa idadi ya polisi waliopo katika jiji letu ni ndogo sana hawawezi hata kidogo kuweza kuwepo kila mahali matukio hayo yanapotokea. Lakini pia hili ni tatizo la kitaifa kwamba hatuna vifaa vya kutosha vya kiusalama kuweza kudhibiti matukio kama haya hasa kutokana na miundombinu ya jiji la Dar es salaam. Kikubwa ni sisi wananchi kuonesha nia ya dhati kupambana na matukio haya kwa kuwapa ushirikiano Polisi kwa namna moja au nyingine kuhakikisha tunawadhibiti watu hawa. Kwa sababu watu wanaofanya matukio haya tunawajua na tunaishi nao mitaani ila watu tumekuwa tukiwaficha.

are u serious??!!
anza wewe basi kuwataja hao majambazi unaowajua na unaishi nao.
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi

Mkuu taarifa tumezipa muda si mrefu kua ni mfanyabiashara wa kariakoo gerezani,alikua na prado nyeupe milango mitatu.Hawa majambazi wanatunyima usingizi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siku hizi mipango mingi isije kua kama lile tukio la Barclays pale kinondoni
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi


Pikipiki kutolipiwa road licence ni moja ya vichocheo vya uhalifu, sijui ni kwanini serikali inajikomba kwa watumia pikipiki
 
Kuna haja ya jeshi la polisi kuweka sheria watu hawaruhusiwi kutembea na kiasi kikubwa cha fedha bila ulinzi.

Hivi mtu unajibebea mamilion tena huna hata hofu.

Kwa jins matukio yanavyozidi huu ni mchezo wa majambaz na wahusika wa karibu na alieibiwa.
Tusubiri uchunguzi

trust no one, hapo ni mtu wake wa karibu sana ndie aliye Fanya mchakato huo. R.I.P
 
Nilikua hapo mkuu nimekimbia vbya sana acha kabisa mbele ya mtutu

duh nivyema kuepusha roho yako japo wao walikuwa na Raman kamili coz kama ww ungekuwa target nadhan kusingekuwa na mbio ulizoziapply
 
Kuna mtu juzi mfanyabiashara wa Kariakoo alinipa Tshs.13,000,000 kwa ajili ya shughuli fulani, badala ya kumfuata dukani kwake akaja na gari eneo la Mnazi mmoja na kunikabidhi!! Ukiwa maeneo hayo kuna vijana wengi sana wamekaa kidilidili, wana info nyingi sana kuwahusu Wafanyabiashara waliopo hapo.

Ni mtindo wa Wafanyabiashara hasa Kariakoo kubeba fedha nyingi kutokana na wingi wa wateja na manunuzi yao ya jumla wanayoyafanya kwa Wafanyabiashara wengine wakubwa. Ni risk sana lakini wamekubaliana na hali hiyo.
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi

mkuu sioni shida ya pikipiki,
baadhi ya wamiliki wa siraha ni changamoto!
siraha iliyotumika unaeza kuta watu wamemilikishana kienyeji kama unavyoweza miliki kiberiti nyumbani!
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi
hawa waliambiwa na ukimchunguza huyu jamaa lazima mkewe awe mmachame poleni wafiwa..
 
Back
Top Bottom