Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Ni TISS kati ya wale ambao nature ya kazi zao zina wa expose. Mbena= Mzeru anajulikana sana na kazi yake hiyo. Nikuulize swali rahisu. Hivi wale walinzi wa Rais au viongozi waandamizi wa serikali wanajificha? Hapana, ni rahisi kuwafahanu. Hivyo basi TISS staff wako aina tofauti na si rahisi kuwafahamu wote. Wachache ndiyo wabaofahamuka na wengi hatuwajui wako maofisini kila mkoa na wilaya na makao makuu wengine back na wengine front office katika ofisi zao. Wengine tuko nao maofisini na sehemu zit hadi washona viatu, hawa ni informers au wanakuwa maofisini kwa kazi maalum!!! du nisiwre msemaji wao!!!
Kazi yake ya nini?
Kama haumo kwenye directorate wewe ni agent ambae hutakiwi kutambuliwa kisheria.
Kufichua identity ya agent ni punishable event.
Marehemu ana ndugu na jamaa, pia ana wananchi ambao usalama wao hapo umetishiwa. Huwezi kumu-expose agent ukasema umefanya jambo la maana. Huo utakua upuuzi.
Kwa wenzetu, huyo mwandishi angeshatiwa nguvuni. Ila kwetu tunadhani ndiyo uhuru wa habari.
 
Ni TISS kati ya wale ambao nature ya kazi zao zina wa expose. Mbena= Mzeru anajulikana sana na kazi yake hiyo. Nikuulize swali rahisu. Hivi wale walinzi wa Rais au viongozi waandamizi wa serikali wanajificha? Hapana, ni rahisi kuwafahanu. Hivyo basi TISS staff wako aina tofauti na si rahisi kuwafahamu wote. Wachache ndiyo wabaofahamuka na wengi hatuwajui wako maofisini kila mkoa na wilaya na makao makuu wengine back na wengine front office katika ofisi zao. Wengine tuko nao maofisini na sehemu zit hadi washona viatu, hawa ni informers au wanakuwa maofisini kwa kazi maalum!!! du nisiwre msemaji wao!!!

Usemayo ni kweli tena miongoni mwao wapo wale wanaojihusisha uokovu wa maisha yetu kila siku sijui wanaitwa nani vile!!??Huwa wanavaa sare nyeupe hivi.Wengine ni wale wanaovaa rozali kifuani ambao hujulikana kama wachunga kondoo wa bwana hususan wa kutoka lile dhehebu flani lenye nguvu na ushawishi mkubwa wa kisiasa hapa nchini.Ogopa sana watu hawa.Hii nchi ni zaidi ya uijuavyo.
 
alipostukia kua kuna watu wanamfuatilia baada ya kupata mzigo pale uwanja wa ndege,akaamua kutaka kutoroka kwa gari yake, sasa wakati anatoka,foleni ya kuingia nyerere road ndio iliharibu,katika harakati za kujiokoa akatanua,bahati mbaya gari ikakwama pembezoni mwa barabara katika kamtaro,hapo ndio jamaa waliokua wanamfuatilia na boxer wakapata nafasi ya kumfuata katika gari na kumchapa risasi na kisha kutokomea na briefcase ambayo ndani yasemekana kulikua na hela nyingi na sembe.
 
Tatizo kubwa la hawa jamaa wanatumia taasisi hii kushiriki kwny deal chafu so unaweza kuta kauwawa na wacheza deal wenzake!
 
na dr.slaa atulie sasa. Ishu za wake za watu sio nzuri

ccm haina jipya....mbinu zilezile ka shetani vile...
.ndo mlisemaga wakati wa Absalom kibanda.....sa hv yale yale....mmebaki nyie virusi wa Lumumba msio na maana yoyote
 
Hii thread inauhusiona na hii- Majambazi (wakitumia pikipiki)
wapora na kuondoka na Pesa - Mataa
ya Airport (119) au matukio mawili tofauti?
 
Kweli sasa hili limekuwa janga la kitaifa watu kuwawa na kupora fedha ni hatari sana .Poleni wafiwa kwa huyo aliyebeba fuko la pesa ndiyo hali iliyopo kila mtu anatafuta haki yake kwa nguvu
 
"jana mida ya jioni majambaz yasiyofahamika yalimvamia bwana Mzeru na kumnyofoa moyo kwa kutumia kisu butu, yakampofoa macho, yakamwagia maji ya moto halafu yakamnyonyoa nywele zote kisha yakamtupa mtaroni na kumshindilia na jiwe lenye kilo 55" nadhani nimekufurahisha kwa maelezo hayo ya kinyama. (una roho ngumu wewe)

Hahahahahaha! Jf imejaa vituko vingi!
 
Kazi yake ya nini?
Kama haumo kwenye directorate wewe ni agent ambae hutakiwi kutambuliwa kisheria.
Kufichua identity ya agent ni punishable event.
Marehemu ana ndugu na jamaa, pia ana wananchi ambao usalama wao hapo umetishiwa. Huwezi kumu-expose agent ukasema umefanya jambo la maana. Huo utakua upuuzi.
Kwa wenzetu, huyo mwandishi angeshatiwa nguvuni. Ila kwetu tunadhani ndiyo uhuru wa habari.

Mkuu hakuna mtu anayewa-expose, ni wao wenyewe tu hawajali ethics za kazi zao! Zamani Mambo yamebadilika sana mkuu, miaka ya zamani hawa watu walikuwa very ethical na watafuata protocal za kazi zao! Lakini toka waanze kutoa hizo ajira zao kwa hongo imekuwa shida!! Nasema hivyo kwasababu tunakunywa nao baa na tunaona wanavyojisifu na kuvimbisha kifua!! ni wao wenyewe hao TISS agents wanajiexpose!! TISS tuliyonayo sasa si kama ya miaka ile tuliyokuwa tunaijua, nao wanaelekea kuwa corrupt kama jeshi la polisi!! Siku hizi watu wa usalama wamekuwa ni watu wa kupiga dili tu huku mitaani..
 
Kabla hujatuma, hakikisha unajua kulinda data zako wasikujue maana vinginevyo, tembea na Panadol pia uvae nguo na kutumia gari Bullet Proof kama la Obama.

Kumbuka siyo wote walio humu JF nirahisi kuwafikia,hata marehemu kabla ya kuuawa inawezekana hakujiandaa na pia walio fanya mauaji watakua wanamjua kiundani either kwa kushirikiana naye katika kazi za kila siku au wamepewa info ya jamaa na waliopanga mauaji.

Ikiwemo kama jamaa ana silaha,aina ya silaha,uwezo wake,afya yake ikoje hasa kama ana BP ya aina yoyote ile,spidi ya jamaa katika matumizi ya silaha hasa kukitokea shambulio la ghafla,pia inawezekana silaha ilikua katika hilo sanduku kama wengi wetu walivyozoea kuziweka.

Soo kushambulia mtu kwa lengo la kutoa uhai siyo rahisi kivile kama wengi wetu wanavyofikilia. Mwache jamaa kama ana data azilete
 
Mkuu hakuna mtu anayewa-expose, ni wao wenyewe tu hawajali ethics za kazi zao! Zamani Mambo yamebadilika sana mkuu, miaka ya zamani hawa watu walikuwa very ethical na watafuata protocal za kazi zao! Lakini toka waanze kutoa hizo ajira zao kwa hongo imekuwa shida!! Nasema hivyo kwasababu tunakunywa nao baa na tunaona wanavyojisifu na kuvimbisha kifua!! ni wao wenyewe hao TISS agents wanajiexpose!! TISS tuliyonayo sasa si kama ya miaka ile tuliyokuwa tunaijua, nao wanaelekea kuwa corrupt kama jeshi la polisi!! Siku hizi watu wa usalama wamekuwa ni watu wa kupiga dili tu huku mitaani..
Sasa huyo mwandishi ndiyo itabidi a-prove kama aqlimwambia kuwa yeye ni TISS.
Kisheria, hiyo inakwenda mpaka 20yrs.
 
Kuna haja ya jeshi la polisi kuweka sheria watu hawaruhusiwi kutembea na kiasi kikubwa cha fedha bila ulinzi.

Hivi mtu unajibebea mamilion tena huna hata hofu.

Kwa jins matukio yanavyozidi huu ni mchezo wa majambaz na wahusika wa karibu na alieibiwa.
Tusubiri uchunguzi
samahani mkuu hivi kiasi kikubwa cha fedha kinanzia kiasi gani ,watu wanaweza kuiba hata sh. 1000000/=?
 
Usemayo ni kweli tena miongoni mwao wapo wale wanaojihusisha uokovu wa maisha yetu kila siku sijui wanaitwa nani vile!!??Huwa wanavaa sare nyeupe hivi.Wengine ni wale wanaovaa rozali kifuani ambao hujulikana kama wachunga kondoo wa bwana hususan wa kutoka lile dhehebu flani lenye nguvu na ushawishi mkubwa wa kisiasa hapa nchini.Ogopa sana watu hawa.Hii nchi ni zaidi ya uijuavyo.

Dah...! Nimekumbuka kisa fulani... R.I.P Makamanda wote TISS walio uawa na waliokufa vifo vya kawaida. Maisha yanaendela mbele
 
Dah aliacha vioo wazi? Tatizo sio piki piki mbona nchi zote kuna hizo mtrbikes? Just police hawafanyi kazi yao

CTU Agent umenichekesha ctu agent huna uweredi wa risasi? au umeambiwa gari ilikuwa ni bullet proof? ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom