Je, kiplomasia hasa ya Mahariki ya Kati, tupo vizuri?Hivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?
Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.
NdioJe, kiplomasia hasa ya Mahariki ya Kati, tupo vizuri?
Watekaji wawe hamasi, laumu ziende Israeli?Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Mateka ClemenceNani huyo?
Muulize dadako Faiza Foxy atakuwa na jibu mujarabMateka Clemence
Ni ngumu sana FaizaFoxy kumsemea Clemence kwa sababu ya Dini yake!Muulize dadako Faiza Foxy atakuwa na jibu mujarab
Na bado huelewi unacho elezwa.Hoja hapa sio utaifa au uafirika hapa hoja ni maisha ya watu ,hii tabia ya kuona maisha ya jamii fulani yana thamani kuliko ya jamii nyingine ndo chanzo cha hii vita inayo endelea.
Mchawi utamjua tu!Kajiua mwenyewe
Kauliwa na Hamas magaidi,kama asingetekwa na Hamas asingekufa, Hamas unatekaje mtu asiye Mwisraeli?Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
kumbe alikuwa agent wa MOSSADTufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
Nani huyo?
Kwanini Hamas walimteka clemence kwani anahusikaje na ugomvi wa Israel na Hamas?Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?