Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Yeye hakuuawa tarehe 7 Oktoba. Alichukuliwa mateka na kushikiliwa na Hamas kwa zaidi ya mwezi. Baada ya Israel kuingia huko Gaza ndiyo wanakuta mwili wake.Ushahidi kwamba Hamas wamemuua ni upi? So far ushahidi pekee uliotolewa ni kwamba watu walikua wanakimbia Hio Concert wameuliwa na IDF na sio Hamas, mpaka Helicopter Footage imeleak hii hapa.
View: https://twitter.com/Megatron_ron/status/1722514874452877492
Na wewe tuletee ushahidi ni Hamas wamemuua.
SahihiYeye hakuuawa tarehe 7 Oktoba. Alichukuliwa mateka na kushikiliwa na Hamas kwa zaidi ya mwezi. Baada ya Israel kuingia huko Gaza ndiyo wanakuta mwili wake.
Source?Yeye hakuuawa tarehe 7 Oktoba. Alichukuliwa mateka na kushikiliwa na Hamas kwa zaidi ya mwezi. Baada ya Israel kuingia huko Gaza ndiyo wanakuta mwili wake.
Sijataja neno wayahudi mahali popote. Nimesema watu wa dini fulaniWayahudi na WAislamu, Tanzania kuna wayahudi?
Umezunguka sana, kama ni posa kwa mwanamke huwezi mpata, sema Waarabu wa Tanzania wanawasapoti HAMAS, na wakristu wanasapoti ISRAEL na si wayahudi kama kichwa chako kinavyokutuma.
These people hawana uzalendo. Loyalty to the Umma and Islam then faith comes second. Mtu mwenye mhemuko wa kidini Hana uzalendoSo Hamas kuvamia na kuteka na sasa wamesababisha kifo cha mdogo wetu kwako walikua sawa et
Hivi hizi dini zinawafanya wapumbavu kiasi hiki kweli?
Ushabiki wa kidini ndio umetujaa waTZ.Watekaji wawe hamasi, laumu ziende Israeli?
Hii mambo inakuwaje?
"dini fulani" ndio wayahudi, usiwe mwoga, JF ni sehemu ya uwazi si kama magazeti yenu ya CHAMA yanasema kuna mchwa halmashauri wakati majina ya wakurugenzi na wengineo yanafahamika:Sijataja neno wayahudi mahali popote. Nimesema watu wa dini fulani
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata
Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.
Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi
View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h
Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo
Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.
Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,
Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.
Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'
10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was
Wana laana ina miaka 2000 hizi tunazowapa sio za kwanza na hazitakuwa za mwisho.Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Registration No Name Sex
1 HOT/D/2020/0082 Adelphina Inyasi Basili F
2 HOT/D/2019/0059 Adil A. Sykes M
3 HOT/D/2020/0002 Alfonsina I. Mumbu F
4 HOT/D/2020/0044 Alfred Maganga Ndolenge M
5 HOT/D/2020/0060 Almachius Cosmas Dioniz M
6 HOT/D/2020/0212 Andrea Simon Ndezi M
7 HOT/E/2020/0165 Anitha Benedicto F
8 HOT/D/2020/0086 Anitha Lamson Mwambuga F
9 HOT/E/2020/0094 Anna George Msongo F
10 HOT/D/2020/0048 Asha D. Chambala F
11 HOT/E/2020/0135 Ayubu S. Edward M
12 HOT/E/2020/0193 Bahati Abdalla Kassim F
13 HOT/D/2020/0053 Baraka Hamisi Mkulukala M
14 HOT/D/2020/0074 Caryn Emmanuel Manyenye F
15 HOT/D/2020/0004 Catherine Layson Mwanjisi F
16 HOT/D/2020/0126 Christina J. Likimbalunye F
17 HOT/E/2020/0139 Christopher A. Motto M
18 HOT/D/2020/0045 Clemence F. Mtenga M
19 HOT/D/2020/0129 Cleopatra G. Mluge F
20 HOT/D/2020/0209 Dennis Lucas Mourice M
21 HOT/D/2020/0105 Diana Fidelis Kibiki F
22 HOT/D/2020/0132 Editha Charles Mashimba F
23 HOT/D/2020/0184 Elia D. Mwamahonje M
24 HOT/D/2020/0196 Elizabeth C. Mabula F
25 HOT/D/2020/0034 Emiliana Yohana Mkalava F
26 HOT/D/2020/0024 Emmanuel Edward : LIST OF UNDERGRADUATE AND POSTGRADUATE GRADUANDS FOR THE 42ND SUA GRADUATION CEREMONY
Hakuwepo kwenye tamasha walisema mafunzo yao yapo karibu na gazaIsraeli imekiri kuwa iliwashambulia raia wake siku hiyo ya tarehe 7 kwenye tamasha la music so is likely kama mtanzania mwenzetu mwili umepatikana ndani ya mipaka ya eneo la Israel ambako tamasha lilifanyika basi ni wazi kuwa atakua ameuwawa na majeshi ya israeli.
Kuna uwezekano kadri siku zilivyozidi kwenda Hamas walizidiwa uwezo wa kuhold namba kubwa ya mateka ukizingatia IDF waliblock humanitarian aids ambazo zinginezo zilibainika kuwafikia Hamas so the only option hapo ni kuwapunguza kwa kuwaua, vinginevyo kama waligawana mateka kwenye unit zao kupunguza risk.Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
Kwahiyo amekutwa kafa gaza au Israel?Hakuwepo kwenye tamasha walisema mafunzo yao yapo karibu na gaza
Leta ushahidi wako hapa.kumbe alikuwa agent wa MOSSAD
View attachment 2818157
Hakuna gaidi. Hao ni waislam wa Palestina wanapigania nchi yaoLeta ushahidi wako hapa.
Hii propaganda yako ya kumchafua marehemu ili kuwasafisha hao magaidi waliomuua imeshafeli.