Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Inasikitisha mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uongo???Chanzo cha kifo ni Hamas bila ubishi.Fala wewe,Hamas ndio imemuua?
Kwa hiyo Waisraeli ndiyo waliomwua siyo?Hakuna uhakika wa ni nani aliye muuwa maana mara ya kwanza ilidhaniwa ametekwa lakini kwa mazingira ya kifo chake inaonekana alikuwa haja tekwa.
Hii ni kupigania dini,inasikitisha mno.Wauwaji wakubwa nyie!
Hii ni ya jana tu.
Na hapa ni Afghanistan hao wanaochinjwa ni wa missionary wa kikristo.
Hii jamii ni kaka zake shetani
View attachment 2817130
Hivi huyo kijana asingetekwa na waislam wa Hamas angeuwawa?Hamas wasingefanya shambulio la 07/10 haya yangetokea?Israel mkoloni lazima ashambuliwe.Mateka walishikikiwa Ili mazungumzo yafanyike Sasa kuua mateka wanakofanya Israel Kwa kisingizio Cha kuwatafuta ndio wamefaulu?
Upumbavu wameua Kijana Wetu na nyie punguani mnashangilia.
Hamas wako sahihi maana wanapigania ardhi Yao.
Uzuri unajua ni wajinga aise.Halafu kuna wajinga wanashangilia yanayoendelea huko!
RIP
Israel mkoloni lazima ashambuliwe.Mateka walishikikiwa Ili mazungumzo yafanyike Sasa kuua mateka wanakofanya Israel Kwa kisingizio Cha kuwatafuta ndio wamefaulu?
Upumbavu wameua Kijana Wetu na nyie punguani mnashangilia.
Hamas wako sahihi maana wanapigania ardhi Yao.
Hakuna binadamu mwenye thamani kuliko binadamu mwenzake kisa asili yake.Nani kamfanya mwenziye daraja la pili.....Narudia tena soma Charter ya Hamas mkuu....Utajua Mhayahudi ni daraja la ngapi....Hamas wamefuata exactly kama Quran ilivyosema....Hivi ni nani katawala Gaza toka 2005? Umeme na maji vyote ni kutoka Israeli....Huko ndio kuwa daraja la pili?
2 Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada. 3 Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.Wauwaji wakubwa nyie!
Hii ni ya jana tu.
Na hapa ni Afghanistan hao wanaochinjwa ni wa missionary wa kikristo.
Hii jamii ni kaka zake shetani
View attachment 2817130
Kwa hiyo Waisraeli ndiyo waliomwua siyo?
Hakuna binadamu mwenye thamani kuliko binadamu mwenzake kisa asili yake.
Ww wakoloni uliyo wafukuza ndani ya nchi yako siwalikuwa wana kujengea shule barabara ,na hospital hata umeme si walikuletea?
Alafu ww ni kilaza mzuri hujui chochote zaidi ya kukalilishwa ujinga.
Umeme na maji ulio kuwa unasambazwa Gaza vili kuwa ni kutoka kwenye mamlaka ya Palestina iliyoko West bank na vyote vina gharamiwa kwa kodi za wapalestina na nchi wafadhili wa palestina na sio Israel kwa hiyo acha umbumbu .
Hakuna anaye jua amekufa katika mazingira gani zaidi ya watu kuongozwa na mihemko tu.Kwa hiyo Waisraeli ndiyo waliomwua siyo?
Hata Israel isinge kuwa inaikalia kwa mabavu ardhi ya wapalestina hamas wasingekuwa na sababu ya kufanya shambulizi .Hivi huyo kijana asingetekwa na waislam wa Hamas angeuwawa?Hamas wasingefanya shambulio la 07/10 haya yangetokea?
Uzuri bible imesema wazi kuwa kuna nyakati za furaha na za huzuni.
Walioshangilia na kucheza muziki 07/10 ndo wanalia sasa
Hakuna binadamu mwenye thamani kuliko binadamu mwenzake kisa asili yake.
Ww wakoloni uliyo wafukuza ndani ya nchi yako siwalikuwa wana kujengea shule barabara ,na hospital hata umeme si walikuletea?
Alafu ww ni kilaza mzuri hujui chochote zaidi ya kukalilishwa ujinga.
Umeme na maji ulio kuwa unasambazwa Gaza vili kuwa ni kutoka kwenye mamlaka ya Palestina iliyoko West bank na vyote vina gharamiwa kwa kodi za wapalestina na nchi wafadhili wa palestina na sio Israel kwa hiyo acha umbumbu .
Acheni udini kwenye uhai wa watu.Hakuna anaye jua amekufa katika mazingira gani zaidi ya watu kuongozwa na mihemko tu.
Hata Israel isinge kuwa inaikalia kwa mabavu ardhi ya wapalestina hamas wasingekuwa na sababu ya kufanya shambulizi .
Mlaaniwe wewe na magaidi wenzako, vifo mlivyosababisha mtavilipia.Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Hivi haikufanyika risk assessment na kuona haikuwa salama vijana wetu kuwa stationed gaza haikuwa salama, usijekuta hawa mateka ni machotara wa kiyahudi wahindi wafilipino wabongo na wanaigeria tupu, wao pure hawako huko, hivyo uhao wao wala sio muhimu kivile wanaweza dundwa tu sambamba na wapalestina