Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Walitumwa na serikali kujifunza kilimo.

Sijui Israel inapata wapi maeneo ya ku practice kilimo kutushinda.

Simiyu ni kubwa kuliko Israel.

Miaka ya 70 Orchestra Safari Sound, Masantula Ngoma ya Ukae cried out loud" : "Tangu zama za kale asili yetu ni wakulima, hatuna budi kuendeleza kilimoooooo!"

Mungu tuhurumie
 
Ndio maana nimesema kuwa una uwezo mdogo wa kufikiri, yaani uende kwenye nchi ya watu uikalie alafu useme hakuna mgogoro wowote?

Kutoka West bank, Jerusalem mashariki mpaka kwenye miji yote iliyoko mpakani mwa Gaza hayo yote ni maeneo ya wapalestina kwa mujibu wa mipaka inayo tambuliwa kimataifa.

Ngoja nikuelimishe hiyo miji ya mipakani iliyo shambuliwa na hamas yote hiyo ilikuwa ndo makazi ya wapalestina wanao ishi kwenye ukanda wa gaza kwa sasa ambao walifukuzwa kwa nguvu na Israel mwaka 1947 .

Mkuu njoo na historical facts...Ukianza kufikiri utakuja na Charter ya Hamas...Wamefikiri wakarudi kwenye imani...Lets start from 1948 with historical facts....Na angalia Waarabu kwa ujinga wao walivyopoteza kwa kuanzisha vita 1948...1967...1973.....Hata walipopewa Gaza 2005.......Wnajiletea Nakba nyingine.....
 
Walitumwa na serikali kujifunza kilimo.

Sijui Israel inapata wapi maeneo ya ku practice kilimo kutushinda.

Simiyu ni kubwa kuliko Israel.

Miaka ya 70 Orchestra Safari Sound, Masantula Ngoma ya Ukae cried out loud" : "Tangu zama za kale asili yetu ni wakulima, hatuna budi kuendeleza kilimoooooo!"

Mungu tuhurumie

Inayo Mkuu........some facts za kilimo Israel....Mbona tuna eneo kubwa kila miaka kuna tishio la njaa.....!
 
Apumzike kwa amani, poleni sana wafiwa wote Mungu awape nguvu na akawe faraja kwenu.
 
Israel ugomvi kati ya hamas na Abas yeye una kuhusu nn ?
Kama Israel ingekuwa na nia kweli ya kutaka amani ingeondoka kwenye mipaka ya palestina inayo tambulika kimataifa ili tuone kama hao hamas wange wafuata na kuwashambulia.

Unaweza kuniwekea mipaka ya inayotambulikana kimataifa? Waarabu walikataa mipaka ya UN ya 1948......Hebu iweke ni ipi hiyo...maana imenda ikibadilika badilika....Na Waarbu wamekuwa wakibadili kila leo......Kumbuka kwenye Arab Summit 1967 walikula yamini ya " Three NO" No Peace With Israel, No Recognition With Israel, No Negotiations With Israel.......Kila leo Waarabu wamekuwa kama kinyonga......Sasa niwekee mipaka walioikubali na kuikataa toka 1948.....Wamejaribu vita wakapoteza.....Walikataa Negotiations......sijui wamefanya mara ngapi....yaani ndugu zako wana vituko!
 
Km upo hai utaona kama utakuja kukisikia tena hicho kikundi cha hamas ndani ya Gaza from now on....
Labda waje kwa jina lingine
Jidanganye Mzee,Israel hawapigani na Hamas wanawaua wapalestina
 
Israel ugomvi kati ya hamas na Abas yeye una kuhusu nn ?
Kama Israel ingekuwa na nia kweli ya kutaka amani ingeondoka kwenye mipaka ya palestina inayo tambulika kimataifa ili tuone kama hao hamas wange wafuata na kuwashambulia.

Mkuu ugomvi wa Hamas na Abbas unaonyesha tofauti ya mitazamo....na ndio utajua Hamas hasa wanataka nini....Is more than land mkuu.....
 
Jidanganye Mzee,Israel hawapigani na Hamas wanawaua wapalestina

Kwa nini Mkuu....Hamas ni nani....Wale walioshangilia October7 Mitaani walikuwa ni nani....Tusaidie kututofautisha Hanas na Wapelestina......Na waliouawa Israel October 7 walikuwa ni nani mkuu....Hebu tufungue macho!
 
Imewauma ya mtanzania, lakini ya waislamu kuuawa haiwaumi, wamama, watoto/njiti wanauawa ila roho zenu hazishtuki, kwahiyo mtanzania ana thamani kuliko ndugu zetu wapalestina sio!!! Mnakera sana
 
Unaweza kuniwekea mipaka ya inayotambulikana kimataifa? Waarabu walikataa mipaka ya UN ya 1948......Hebu iweke ni ipi hiyo...maana imenda ikibadilika badilika....Na Waarbu wamekuwa wakibadili kila leo......Kumbuka kwenye Arab Summit 1967 walikula yamini ya " Three NO" No Peace With Israel, No Recognition With Israel, No Negotiations With Israel.......Kila leo Waarabu wamekuwa kama kinyonga......Sasa niwekee mipaka walioikubali na kuikataa toka 1948.....Wamejaribu vita wakapoteza.....Walikataa Negotiations......sijui wamefanya mara ngapi....yaani ndugu zako wana vituko!

Hii ni orodha ya Peace negotiations.....maana misimamo ya Waarabu.....na matukio ya Vita yamekuwa yakibadili landscape ya Middle East

Arab League–Israel accords​

Israeli–Palestinian peace process​

Main article: Israeli–Palestinian peace process
See also: Corpus separatum (Jerusalem)
 
Imewauma ya mtanzania, lakini ya waislamu kuuawa haiwaumi, wamama, watoto/njiti wanauawa ila roho zenu hazishtuki, kwahiyo mtanzania ana thamani kuliko ndugu zetu wapalestina sio!!! Mnakera sana

Mkuu labda ungesema binadamu kuuawa...Maana Warabu wanakufa, Israel wanakufa....na sasa Mtanzania amekufa......Nina huruma ya kila binadamu kuuwa....Wale vijana waliokuwa kwenye tamasha la muziki hawajui hili wala lile....vibibi vizee.....vitoto vichanga viliouawa kama Panya na Hamas......Ndicho kinachotokea Gaza......Hamas walikua kitakachotokea....na kwenye mitandao hii wengine walishangalia.....Leo wanapiga kelele....Israel inauwa watoto....Unaona wazi blindness na double standard! Kifupi Tunatakiwa kusikitika kwa kila kifo....
 
"Wizara itaendelea kuwaailiana na Israel ili kuhakikisha Watanzania wote wanakuwa salama"
Nje ya mada: Kijana alifia Gaza au Israel?
Kifo chake kimetokea lini na sababu ya kifo ni nini?
Si ilisemekana alitekwa? Inaweza hamas walimtumia kama ngap ya wao kutoshambuliwa, ukizingatia hakua muisrael na pia alikua black.
 
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo



Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was

Htr sana hii
 
Imewauma ya mtanzania, lakini ya waislamu kuuawa haiwaumi, wamama, watoto/njiti wanauawa ila roho zenu hazishtuki, kwahiyo mtanzania ana thamani kuliko ndugu zetu wapalestina sio!!! Mnakera sana
Najaribu kusoma sielewi ulichoandika, hivi october 7 nani aliyerusha jiwe kwa mwenzie? Sie tunahusikaje na ugomvi wao hadi watuulie mwanatu?
 
Mkuu ukiwa mfuatiriaji wa maisha ya kila siku kati ya wapalestina na waisrael huwezi sema eti Hamas ndo wameanza uchokozi.

Hamas wanatakiwa wadili na serikali, polisi, wanajeshi. Hao ndio wakupambana nao. Hao wananchi wamewafanyia nini?

Alafu wanafanya uhalifu wanakimbilia kujificha mjini kwenye majumba ya Watu. Huo ni zaidi ya ushenzi.

Huenda ni kweli wanadai haki zao. Lakini kwa gharama za maisha ya Watu wasio na hatia
 
Mkuu huyo dogo ali kuwa hajatekwa bali alikuwa amepotea siku ya shambulizi ndo akadhaniwa ame tekwa, wenda aliuawa siku ya shambulizi au vinginevyo na mbaya zaidi huyo mtoa taarifa hakutoa maelezo yanayo eleweka.

Kama hakutekwa Si sawa.
Lakini kama alitekwa. Waliomteka wanawajibika kwa kifo chake
 
Alafu huyo inaonekana alikuwa ajatekwa bali wenda aliuawa kwenye siku ya uvamizi wa sema maiti yake ilikuwa haijatambulika au kupatikana.
Uko sahihi, bado kuna maiti nyingi hazijatambulika
 
Back
Top Bottom