Mmoja wa wagombea wa uongozi UVCCM akimwaga machozi

Mmoja wa wagombea wa uongozi UVCCM akimwaga machozi

View attachment 2431595

Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe.

Ila chama hicho jamani, da!

Ajabu yanarekodiana bila hata haya !

Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya kufilisiana halafu wanabaki kuliliana kijinga namna hiyo.
Pengine alikopa anawaza madeni jumlisha uchungu wa kila mjumbe alimuhakikishia kura yangu umepata.
 
View attachment 2431595

Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe.

Ila chama hicho jamani, da!

Ajabu yanarekodiana bila hata haya !

Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya kufilisiana halafu wanabaki kuliliana kijinga namna hiyo.
Hahahahaha !! Kile kilio ni kwa ajili ya kukosa fursa ya kuwahudumia wananchi masikini ??!! Au ?!! Duh !!
 
Haya ni madhara ya deep state kukumbatia chama kimoja MUDA mrefu kutawala nchi!

Matokeo yake tabaka limejengwa Kati ya wenye nacho na wasio nacho ndani ya chama,mtu anachaguliwa KWA kiasi cha Rushwa sio sera tena!!

Lakini ingekuwa madaraka yanapokezana wanachama wa SIASA wasingelundikana CCM ivyo wangeenda chama chochote na kugombea KWA sera na wasingepata MSONGO wa MAWAZO KWA kugombea sehemu MOJA!

Mabadiliko yalipaswa kufanywa 2015 na yangeanza pole pole tangu 2010 leo vyama kama nccr mageuzi,cut na CHADEMA vingekuwa na nguvu na kuwa na wanachama wengi na jpm angeshindia urais huko,Nadhani hata moyo wa betri usinge kata moto KWA msongo wa mageuzi ya nchi na mageuzi ya kusafisha CHAMA!!

Mungu IBARIKI nchi yangu Tanzania!
Umeongea kitu kimoja muhimu sana. Ila ni wachache watakuelewa.
 
Mpaka sasa hakuna aliyeleta uthibitisho kuwa huyo analia baada ya kushindwa uchaguzi.......naona maneno yaleyale tu ya kimbeambea.
 
Mtoto akililia wembe Mpe

Wembe ni ule ule
 
Asijali, kwani aliyeshinda atamfuta machozi Kwa kumteua kuwa mbeba mafaili yake.
 
Back
Top Bottom