airmax
JF-Expert Member
- Oct 14, 2022
- 870
- 965
Halafu wako bize kumpambania MUHUNI mmoja aliyevuliwa jezi........RUSHWA ndani ya CCM ni RUKSA kwani KUTOA NA KUPOKEA Rushwa NI AHADI YA MWANACCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wako bize kumpambania MUHUNI mmoja aliyevuliwa jezi........RUSHWA ndani ya CCM ni RUKSA kwani KUTOA NA KUPOKEA Rushwa NI AHADI YA MWANACCM
Yule kenge ana stroke ya ubongo.Stroke ni jina maarufu la mfuasi wa mwendazake
Pengine alikopa anawaza madeni jumlisha uchungu wa kila mjumbe alimuhakikishia kura yangu umepata.View attachment 2431595
Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe.
Ila chama hicho jamani, da!
Ajabu yanarekodiana bila hata haya !
Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya kufilisiana halafu wanabaki kuliliana kijinga namna hiyo.
Hahahahaha !! Kile kilio ni kwa ajili ya kukosa fursa ya kuwahudumia wananchi masikini ??!! Au ?!! Duh !!View attachment 2431595
Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe.
Ila chama hicho jamani, da!
Ajabu yanarekodiana bila hata haya !
Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya kufilisiana halafu wanabaki kuliliana kijinga namna hiyo.
Hahahahaha !! Kile kilio ni kwa ajili ya kukosa fursa ya kuwahudumia wananchi masikini ??!! Au ?!! Duh !!
Mbogamboga😅😅View attachment 2431595
Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe.
Ila chama hicho jamani, da!
Ajabu yanarekodiana bila hata haya !
Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya kufilisiana halafu wanabaki kuliliana kijinga namna hiyo.
Wanalia huko wamalala na viatuWako wapi akina Mwashambwa,Etwege na Voicer?.
🤣🤣kwakweliHiki chama ni laana tupu!
😅😅😅Wajumbe sio watu
Ottu Ochestra"Ukiona mtu mzima mama, analia jua kuna jambo" ...Msondo Ngoma Jazz Band
Umeongea kitu kimoja muhimu sana. Ila ni wachache watakuelewa.Haya ni madhara ya deep state kukumbatia chama kimoja MUDA mrefu kutawala nchi!
Matokeo yake tabaka limejengwa Kati ya wenye nacho na wasio nacho ndani ya chama,mtu anachaguliwa KWA kiasi cha Rushwa sio sera tena!!
Lakini ingekuwa madaraka yanapokezana wanachama wa SIASA wasingelundikana CCM ivyo wangeenda chama chochote na kugombea KWA sera na wasingepata MSONGO wa MAWAZO KWA kugombea sehemu MOJA!
Mabadiliko yalipaswa kufanywa 2015 na yangeanza pole pole tangu 2010 leo vyama kama nccr mageuzi,cut na CHADEMA vingekuwa na nguvu na kuwa na wanachama wengi na jpm angeshindia urais huko,Nadhani hata moyo wa betri usinge kata moto KWA msongo wa mageuzi ya nchi na mageuzi ya kusafisha CHAMA!!
Mungu IBARIKI nchi yangu Tanzania!
Etwege yupo Chato anafagia malalo ya mwenda.Wako wapi akina Mwashambwa,Etwege na Voicer?.
Kuhudumia chama pendwa.Hahahahaha !! Kile kilio ni kwa ajili ya kukosa fursa ya kuwahudumia wananchi masikini ??!! Au ?!! Duh !!
😅😅👋Wako wapi akina Mwashambwa,Etwege na Voicer?.