Mmoja ya watu ambao wataiua CHADEMA ni Godbless Lema

Chadema ni ama wamruke au wafanye press kufafanua kauli za Lema zieleweke vizuri.
 
Chadema ni ama wamruke au wafanye press kufafanua kauli za Lema zieleweke vizuri.
Lema anaweza akawa na nia nzuri lakini uwasilishaji wa hoja zake ni wa dharau kubwa na kejeli kwa wananchi wa hali ya chini

Angejipa muda asome mazingira, atulize akili azungumze constructive opinions na sio kuyoa hoja za kuwadhalilisha watu
 
Lema anaweza akawa na nia nzuri lakini uwasilishaji wa hoja zake ni wa dharau kubwa na kejeli kwa wananchi wa hali ya chini

Angejipa muda asome mazingira, atulize akili azungumze constructive opinions na sio kuyoa hoja za kuwadhalilisha watu
Mara laana mara wanae wakiendesha boda anafukuza. Inakuwa kama kavuta bangi. Jenga hoja vizuri kwa tahadhari bila kuleta taharuki
 
Kaka hivi buku7 yako ni yakupambana lema?
 
Kwani kumpigia simu kikwete kuna tatizo Gani?
 
Lema anaiua Chadema, lakini wanaohudhunika ni CCM.
LEMA anakosesha kura wagombea wa wa Chadema lakini wapiga kura wa CCM ndio wanalalamika kwa tabia hiyo ya Lema.
Hakika mwaka huu 2023 umejaa maajabu haijapata kutokea, ila wenye akili wameelewa.
 
 
Unadhani wanachama na wafuasi wanaokitetea chama cha ccm siyo kuwa wanakipenda wala kukijua wengi wanakishabikia kusaka teuzi na fursa za maisha tuseme wako kimasilahi chadema kina wanachama Wa kupenda bila masilah na wanahuruma na RAIA mfano sisi tuliozaliwa kabla ya ccm tumeimba nyimbo za kukipamba chama cha ccm tumecheza chipukizi tumeimba falsafa za ccm kwakuweka mkono kifuani kitoto kipenzi ccm kuzaliwa 5:2:1977 lakini leo tukisema chadema ni suluhisho tunamaanisha na wala hatupendi chadema kusaka fursa sisi fursa tumejitengezea Bali tunawaandalia wajukuu mazuri katiba mpya
 
Akili za bodaboda kma zako
 
Kama speech zinaua chama ccm ingekufa 2005_2020
 
Lema ameshakuwa liability kwa CHADEMA. Wasipomfunga break mapema ataleta shida kwa chama
Tatizo lenu masikini wa akili na mali mkiambiwa ukweli mnachukia badala ya kujitafakari siku chadema ikifa uwenda hata sehemu uliyozikwa Kutakuwa kumejengwa ghorofa.
 
Anaropoka sana. Jamaa anapenda sana umaarufu. Anapenda sana kuongea na kichwani hayupo smart. Ingawa yeye anadhani yupo smart. Na kuna machawa wake wanamwita Nabii.[emoji16]
Sijawahi kumuadmire kabisa,huwa namuona mtupu kichwani na mpenda sifa na recognition!
 
Tulieni sindano iwaingie, miaka 60 ya uhuru,umeme hakuna,maji hakuna, umaskini uliokithiri etc ndio mafanikio yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…