Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Ukiniwekea Ushahidi Hukumu Aliyo Hukumu Allah Kwa mashoga weka miadi unisilimishe Kwa qauli yako!
Huo ni mchezo wa kisilamu!
Yahudi akikurubia komwe MOTONI!🔥
ww ukikurubia umefuzu!
👇👇
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا
(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.
Tena kawapa Wepesi ukishughulikiwa/shughulikia vutu ya!; Maiti, mnyama, kuntha, mtoto, kifisifisi, ni kuoga Kata.3
👇👇
فصل في أسباب الغسل
Kipambanuzi katika kubainisha sababu za kuoga يَجِبُ الْعُسْلُ عَلَى الرَّجُلِ بِحُرُوحِ الْمَنِي مِنْ طَرِيقِهِ الْمُعْتَادِ أو غَيْر غَيْرِهِ،
Inawajibika kuoga kwa mwanamme kwa kutokwa na manii katika njia yake ya kawaida au nyingine.
وَبِتَيْبِ حَسْقَةٍ أَوْ قَدْرِهَا فِي أَي فَرْجِ كَانَ سَوَاءٌ غَيْبَ فِي قُبَلِ امْرَأَةِ أَوْ بَهِيمَةِ أَوْ دُبُرِهِمَا أَوْ ذُبُر الرَّجُل أو الْحُتَى صَغِيرًا كَانَ أَوْ كَبِيرًا
حيا أو مينا وعلى الرّجُلِ الْمُؤلج في دبره،
Na kwa kuzamisha tene (kichwa cha dhakari) au kiasi chake katika tupu yoyote iwayo, ni mamoja ikiwa amezamisha katika tupu ya mbele ya mwanamke au ya mnyama, au tupu zao za nyuma, au tupa ya nyuma ya mwanamme au ya khuntha, akiwa (aliyezamisha ni) mtoto mdogo au mkubwa, hai au maiti. Na ni wajibu kuoga kwa mwanamme mwenye kutiwa katika tupu yake ya nyuma.
Kumbe Yesu hakutoa adhabu yoyote, unakimbilia kwenye uislamu?
Four in five Vatican priests are gay, book claims
French journalist’s book is a ‘startling account of corruption and hypocrisy’, publisher says