LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
LD tumekumiss... Hasa ile kahawa yako ulinikaribisha kwenye uzi wa quotes sijui kama you remember.... BUT i do for the coffee was wonderful.... Jana na wik ilopita nilikuona mtaa wa complaints na pongezi; nikajua mwenzagu siku hizi ni mod...lol... Karibu saana dear na nimefurahi kukuona.... Hata babu anavunga tu...
Huyo ndo mdudu gani...............
Sitaki hata kumsikia akilini mwangu.......................ha ha ha ha duh sijui kwa nini walijiita hivyo hawa viranja.
Wamenifungia ID yangu moja ya kiume sitaki hata kumsikia Paw.