Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
eti anabisha baada ya tisa haiji kumiHutaki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti anabisha baada ya tisa haiji kumiHutaki?
Sure............ can you tell Him to listen to ordinary citizen please!!GOD IS VERY BUSY.....can i help you??..
Habari wana JF...
Ni wazi kua we have got lives beyond hapa JF.... Na ni wazi kua majukumu ni mengi katika jamii ambayo kwa kweli mara nyingi ndio first priorities katika maisha yetu kuliko hata hapa Jamvini... However inapotokea kua Members ambao ni wanafamilia wa hapa MMU wamepotea kitambo... Kuna baadhi ya members hasa sie wanafamilia wa MMU (Mfano mimi) hutokea kwamba Tumewa MISS.... Nyie watu (wanafamilia ya MMU) Popote kule mlipo msitegemee kukaa kwenu kimya basi na rohoni na akilini kwetu hampo!!! ACHENI kutesa mioyo yetu na agalau mtutembelee walau hata post moja tu kwa Week kuhakikisha kua kweli ni wazima wa Afya na kwamba Mwaendelea vizuri... Hivo basi naomba nitaje baadhi ya ambao nimewakumbuka kwa mda huu.... Wale ambao nimesahau kutaja naomba fellow members tukumbushane... Walau waelewe kua We REALLY MISS THEM..... (At lease I do...)
- Michelle
- Eiyer
- Gaga (I kno u ar fine but jamvini sijakuona mda)
- Stevie Dii
- Mestod
- Bacha
- CPU
- Lizzy
- Gagurito
- Manumbu
- Pearl
- Belinda Jacob
- Magulumalu
- Mentor
- First Lady
- Zion Daghter
- Maty (simuoni kabisa naona tu likes...lol)
- Dinnah
- Kbd
- Rev Masanilo
- Cheusi Mangala (thou she is back)
- Okada
- Elia
- Sharohiphop
- Aisha Adam
- Samora10
- Vikwazo
- The Dirty Paka
- Madabwada
- KonaKali
- Mayassa
- Kaka Mpendwa
- Fixed Point (thank God tumemuona)
- Kaka Mpendwa
- Memo
- Woman of Substance
- Mohammed Shossi
- Nnunu
- Maria Roza
- Nyamayao
- Suzy
- Mkwaruzo
- Yeshua Harmaleck
- Prodigy Son
- Young Corporate
- Journe Gwalu (wee jamaa upo but kwa manati mno)
- Carmel
- Smiles
- Pauline
- Wilbard (Unakuja unaishia nje... MMU needs u)
- Son of Alaska
- Senti 50
- Mynameisyourname
Naamini ni wengi na wengine nimewasahau... Ama siwafahamu tokana na Ukweli kua MMU haijaanza juzi... I repeat Members wengine tutasaidiana kukumbushana (kwa wataopenda)
(This Post has been written with Lots of Love.....)
Pamoja Saana
AshaDii.
Majukumu jamani ,tuombeane.Lakn nitakuwa ninachungulia
Am coming back home Adii!
Thanks AD...just been a bit tied up lately!!
kweli sis yaani kuhusu lizzy mimi niliona ninyamaze tu ila leo amenifanya nione siku katika mwanga bora-welcome lizzylizzy tumekumiss dear... Hasa ukizingatia ni mchangiaji mzuri saana... Yawezekana kuliko hata woote katika list nilotaja wee huwa umetuzoesha kuwepo mara nyingi saana. Na members sasa tulishaanza kua na wasi wasi (inabidi ukawatulize pale lounge room a.k.a chit chat maana kuna watu wamkosa amani kabisa). Nimefurahi kukuona.... Welcome back...
Thank you again dearest!!Ntajitahidi niwe nachungulia chungulia now and then mpaka ntakapopata fursa ya kurudi mzima mzima!!!Lizzy tumekumiss Dear... hasa ukizingatia ni mchangiaji mzuri saana... yawezekana kuliko hata woote katika list nilotaja wee huwa umetuzoesha kuwepo mara nyingi saana. Na members sasa tulishaanza kua na wasi wasi (inabidi ukawatulize pale lounge room a.k.a Chit Chat maana kuna watu wamkosa Amani kabisa). Nimefurahi kukuona.... Welcome Back...
kweli sis yaani kuhusu lizzy mimi niliona ninyamaze tu ila leo amenifanya nione siku katika mwanga bora-welcome lizzy
hahahaha..... Naona it is a perfect ded hasa ukizingatia hapa MMU we miss you.... Karibu JG.. Nimefurahi saana kukuona.... Walau wewe huwa waonekana thou kwa manati.... but bana iwe walau mara nyingi... Regards with love kwa Malaika.
Hahaha pamoja wangu!
Yaani bwana mwenzio nilitekwa nyara na Funza Dume kule kwenye jukwaa lake la JEHANAMU hahahaha...!
But baada ya maombi makali sana ya watu wa MUNGU, nimekuwa huru sasa na nimerudi NYUMBANI!!
Siondoki tena!
Nimegundua.......
Ngoja na mie niingie mitini mpaka nianzishiwe sredi ndo niibuke tena.
Ntakuwa natumia ile ID nyingine.
Kwaherini kwa sasa wandugu.
Will do....Good!! Fanya hivo tafadhali... tunakusubiri kwa hamu dear...
We babu hakumiss mtu mpaka siku utakapoacha kufagilia infii...untill then keep on dreaming!Nimegundua.......
Ngoja na mie niingie mitini mpaka nianzishiwe sredi ndo niibuke tena.
Ntakuwa natumia ile ID nyingine.
Kwaherini kwa sasa wandugu.
Kimshiki kinoko hiki...... khaa!We babu hakumiss mtu mpaka siku utakapoacha kufagilia infii...untill then keep on dreaming!