Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Shem umeanza lini kuwasikiliza wagonjwa wa Mirembe walioko likizoni?............ Of ooooool ze pipo, mie na mai homii twaweza toroka na vikreti kazaa vya bia wakati tuna komplimentare ya kujisevia Biya idadi tunayotaka pale TBL............. Isitoshe haya mahela yaliyojaa mifukoni ambayo hayana kazi tungeshindwa kujinunulia mabia ya kutosha mpaka tukasarandie kwenye kasherehe ka Maskini kalikokuwa na vikreti 30 tu za bia?Shem ulikua na hali mbaya saana... Niliwasiliana na mama Matesha akaniambia na kwa hisani ya Matesha sitasema ni hali gani... Hii useful thread ilikua ni kama attack weapon ili tu-diverge attention... kuna scandal kubwa saana ambayo imetolewa na Finest... Kua ODM, Biggie, RR, King'asti, Darling Kaizer, Boss, Uporoto & Co.... mmeondoka na kujibinafsishia Crate zoote za vilevi... Mbaya zaidi mmeiba na after shave ya Lawyer Klorokwini... Sweetie kaamuka toka jana...lol.. Mie naona kuamka zako sa hizi unafikiri leo ni Sunday....lol
Mwambie atutake razi!