Kaizer,Kaizer,Kaizer,Kaizer,embu nimchore kichwani,60kg,one metre fifty,flaby,squinty eyes,afraid of dogs,chickens and rabbits,had a woman for the first time at 25,terrified of his wife,mmmmmmhhhhhh hawezi ku cheat na wewe huyo,nimem rule out,sema mwingine!
Sasa ningeyasema angenunua?yamekuwa hayo?kafilisika ndo humtaki sio?mbona hukuyasema haya wakati anakununulia Harrier?
nshakuuliza,unampendea rejao huo mpua au kipara?
Sawa, sawa B....sawa sawa kabisa SL,kesho napata booking ya confirmation yetu ya dar-paris via j'burg.
wala usimtishe SL,mi ni wale 'nguruwe pita sina mshale'.
He he he he, naona umerudi kundini kuanzia kiunoni kwenda juu
huku kwengine naamini tunaweza endelea na mazungumzo yetu ya memorandam of understanding
Kweli kabisa mtumishi bishanga ana mapepo mengi ila nimemwambia ili mapepo yaweze kutoka anapaswa kuleta vitu vifuatavyo VX V8 ya 2012, Hati Ya Kiwanja kilichopimwa, tiketi zetu mbili za kwenda na kurudi Ufaransa amesema atavileta Jumapili kwenye maombi maalumu mtumishi aendelea kukemea mapepo ili huyu mwanakondoo Bishanga arudi kwenye huduma ya bwana..nahisi bishanga kaangukiwa na pepo. Tunahitaji kufunga na kusali kumwombea. Sawa mpendwa katika bwana?
We thubutu yako.... Unadhani simjui vema Bishanga?.. Anajifanya hana mkuki ila ujue hana haramu huyo..Mwache atest kina kirefu kwa kuweka mguu
Mwache atest kina kirefu kwa kuweka mguu
Hujipendi au umechoka kuishi?Natamani nikuchumbie jamani kongosho.
Halafu wewe mbona jana sikukuona RUNWAY kwenye Karioki..to lose what?huamini?
hivi kanisa lenu limesajiliwa? Nahisi kaarufu kaumagumash hapa!Kweli kabisa mtumishi bishanga ana mapepo mengi ila nimemwambia ili mapepo yaweze kutoka anapaswa kuleta vitu vifuatavyo VX V8 ya 2012, Hati Ya Kiwanja kilichopimwa, tiketi zetu mbili za kwenda na kurudi Ufaransa amesema atavileta Jumapili kwenye maombi maalumu mtumishi aendelea kukemea mapepo ili huyu mwanakondoo Bishanga arudi kwenye huduma ya bwana..