Nimeona my wifi....Umeona eeeh? (ila tu niharakishe kusema skin jeans yenyewe ipo kwangu....lol)
Tumezoea kuona sredi za kule hazimaliz hata page moja..lakini sredi yako imegonga post zaid ya mia!! Kwa kweli kwenye lile jukwaa sredi yako ndiyo ya kufungia mwaka. Mwenye kubisha na abishe!!!Am telling you Kimbweka hua ananichanganya mpaka basi! ilibidi nimuulize maana Khaaa! (umewahi waona binti zake? lol)
Nimefurahi kusikia hivo dear.... Afya yangu mwanana Mungu Mkubwa nipo pouwa kabisa....
Bht nikutakie maandalizi mema ya holidays.... Alafu acha kupotea hivo bana!
Lol...bora umeona bht... Mpaka x'mass ipite tutashuhudia matapeli wengi sana.,.
Nimeona my wifi....
hakuna shida kama kaileta hapo kwako, vile nna mpango wa kutembelea huko kwenu kesho, ntaichukua manake bht hashindwi kuja kuiazima tena....alivovaa na kile kitopu si uliona ilivomtoa?...
Tumezoea kuona sredi za kule hazimaliz hata page moja..lakini sredi yako imegonga post zaid ya mia!! Kwa kweli kwenye lile jukwaa sredi yako ndiyo ya kufungia mwaka. Mwenye kubisha na abishe!!!
Halafu kule kawa kivutio sana..halafu we Asha wewe na wewe unahitaji ufanyiwe maombezi,Rejao kanambia amekuona jukwaa la wakubwa wewe!ulikuwa unafanya nini huko?
Nimeipitia..sema hapa napata tabu cuz natumia simu mchina..nashindwa kuaccess JF kwa kupitia PC yanguhahahaha.... Rejao my brother.... Huishi nisifia.... THANK YOU. But ipo educative na Kimbweka alifunguka... Umeisoma yooote? Kama hujasoma narecommend usome
Hahaha! Afu upeleke kwa yule fundi mwingine pale maeneo ya soko kuu....jina limentoka bana. Mwambie hilo gauni la kitenge aweke mikanda, afu ashone sio refu wala sio fupi yaani lipo kati kati ya miguu... Huku tunaita heshima debe...lol.mtu ajilete aone, tunamkodishia na mdumange na maturumbeta
aah huyu fundi Ali chirimeni yangu kaiharibu bana nanunua kitenge cha zaire kesho...lol
Hahah..lol, sasa hapo nani anamtafuta mwenziye?Bishanga nakutafuta..
Ukirudi nitafute 😛oa
Nimeipitia..sema hapa napata tabu cuz natumia simu mchina..nashindwa kuaccess JF kwa kupitia PC yangu
Hahah..lol, sasa hapo nani anamtafuta mwenziye?
Mchungaji msimuweke kwenye majaribuTF mwenyewe ndo kasema jamani.........LOL!!!
Shauri zako hautaki kufuata njia za bwana usiseme kwamba sikukwambia kuhusu neno la bwanautapeli mchana...mmh!!
sina hati mwenzio jaribu kwengine....lol!!!
nimezoea nokia ya kitochi blakiberi hainifai. (itakua ovasaizi yangu)
Ubarikiwe na bwana akutie nguvuAnaomba hao wawili
Wamchangie kumchojoa
Lugha za kisasa hivi utaziweza
Mie nimemwambia TF anamtosha kabisa
Karibu kwenye ibada leo jioni usisahau kuja na ile Range Rover yako kama sadaka na ile hati ya kiwanja kama fungu la kumi..bwana azidi kukubarikimmmh.......huyu baba mchungaji nae???
Kondoo wangu wote sio watukutu sana wanafuata nyendo zitakazowapeleka mbinguniTF mbona anasema wewe ndo ulim-Pm na kumwambia hii kitu?
:shock::shock:Vipi PA ule msimamo wako wa kuoa utakua pale pale ikiwa hivo? lol GOD Forbid!!
Ni marufuku kufanya mawasiliano na Bishanga hivi wewe kwanini hautaki kuelewa lakiniBishanga nakutafuta..
Ukirudi nitafute 😛oa
Modem ipo ok..but kila saa nikilog in JF inaniambia server is taking too long to respond. Site nyingine nazipata bila matatizoUsijali.... Soon utarudi to your normal self....
BTW Vipi iweje huwezi kwa PC... Umepoteza Modem? lol
Modem ipo ok..but kila saa nikilog in JF inaniambia server is taking too long to respond. Site nyingine nazipata bila matatizo
Bado anafanyiwa maombi kwahiyo hauruhusiwi kuonana nae wala kuwasiliana nae anaweza akakujeruhi@ The Finest naomba sababu ya kunikataza kutokuwasiliana na Bishanga
Bado anafanyiwa maombi kwahiyo hauruhusiwi kuonana nae wala kuwasiliana nae anaweza akakujeruhi