Mahabubaaa,mswaki wa moyo wangu!karibu sana. Mmefanikiwa kurudisha c***za watu wote mlio watoa mapepo??Bishanga naona utakua umeshapata jibu la swali lako.
Mahabuba niko salama kabisa
Nilikumiss mbaya sana
Tumerudisha kila kitu na watu wamepone sana mapepo.
Tunamsubiri Bishanga atuletee lile vogue lake na kale kaprado tutembelee