Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Nilikuwa Washington pale karibu na stand ndogo ndo nimerudi mida midaRafiki uko viwanja nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa Washington pale karibu na stand ndogo ndo nimerudi mida midaRafiki uko viwanja nini?
[emoji23][emoji23][emoji23] nshawahi kutembelewa na wakwe zangu wawili sasa mida ya saa 6 ndo usiku natoka kwenye masanga nikakuta walishalala but binti yao akawa ametibua kitu,akaanza manenomaneno,nilimzibua ile mbaya huku akilia kwa kuzidiwa kipigo but cha ajabu sikuona baba/mama mkwe wakithubutu ata kufungua mlango kumsaidia mwanao au ht kuuliza kulikon na wala asubuh sikuulizwa chochote.Aisee toka hapo sijawahi kumpiga wife nae pia hajawahi kuzingua nadhani kuna somo alipewa na kwa akili yangu nilitaka waje wajifanye kuleta kuleta mdomo nao niwaunganishe kwenye fatigue but naona walisoma alama za nyakati.Mwanaume asipojielewa hayo mambo atakutana nayo Sana.
Hapo ndipo mfumo dume hufanya kazi Kwa ufanisi zaidi.
Mwanaume mwenye Mfumo dume Ndoa haiwezi mshinda, na hawezi pelekeshwa na panya yeyote yule
Pale naona wamepaboresha kiasi kwa wapenda vibe..flani panawafaa hahaNilikuwa Washington pale karibu na stand ndogo ndo nimerudi mida mida
Sasa ilikuwaje umpige mtoto wakati wazazi wamekuja?[emoji23][emoji23][emoji23] nshawahi kutembelewa na wakwe zangu wawili sasa mida ya saa 6 ndo usiku natoka kwenye masanga nikakuta walishalala but binti yao akawa ametibua kitu,akaanza manenomaneno,nilimzibua ile mbaya huku akilia kwa kuzidiwa kipigo but cha ajabu sikuona baba/mama mkwe wakithubutu ata kufungua mlango kumsaidia mwanao au ht kuuliza kulikon na wala asubuh sikuulizwa chochote.Aisee toka hapo sijawahi kumpiga wife nae pia hajawahi kuzingua nadhani kuna somo alipewa na kwa akili yangu nilitaka waje wajifanye kuleta kuleta mdomo nao niwaunganishe kwenye fatigue but naona walisoma alama za nyakati.
Ndoa yetu inaenda mwaka wa 16 sasa, endapo wakwe wana changamoto zote hupitia kwa wife na mara zote uwa ni zile ambazo zimewashinda kabisa ndo uwa nashirikishwa na wife ili kuongeza nguvu ikibidi.So nami nimo kwenye wababa wenye wakwe bora na wenye busara navijunia nao
Kiukweli hizo ni dharau na ubabe,Sasa ilikuwaje umpige mtoto wakati wazazi wamekuja?
Uliwadharau sana
Pale panapendwa sijui kwanini, labda ni vile pako waziPale naona wamepaboresha kiasi kwa wapenda vibe..flani panawafaa haha
Wanaume wengi mna tamaa kupindua kwa maza mjinga mjinga wapo wachache wanashindwa kutoboaSema na wanaume tumezidi kuwa ma mbwa koko, utakubalije ukaribu na mama wa mpenzi wako?
Sasa si tutaoa wazeeMsubiri wazeeke ndipo muoe watoto wao,
🤣🤣🚴🚴[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeona,mambo haya yapo mkuuInategemea mkuu.
2010 nilikuwa Denmark 2yrs kuna mamamkwe alimkataa katukatu binti flani kuolewa na kijana wake kisa wazazi wa binti baba ni green grocer na mama ni mwalimu.
Kilichotokea kijana alijiamulia afunge ndoa bila sherehe na mimi nikawa mpambe wake yaani tulikuwa wanne na padre wa 5 tu.
Yule mkwe alikuwa kisirani sana na hawakuelewanaga na mkwewe hadi tulipoachana kwani nilifikia kwao.
Lakini baba mkwe hakuwa na noma na mkwewe kabisa.
Utandawaz umekuwa shida sana Kwa Kweli😠Unakuta mmaza anamtizama mkwewe usoni hivi akirembua vzr kumzidi binti yake na mkwe akadindisha inakuwaje au maza awe chombo kuzidi bintiye!!! Si ndo laana zenyewe hizo jamani,, sisi kwetu mkwe haruhusiwi kuonana na mama mkwe wake uso kwa uso labda kwa dharula maalum msiba, harusi ama ugonjwa, na mkamwana na babamkwe ni hivyo hivyo pia
Pale palisha chafukaga umesahau harmo aliwakula wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakika pale Kuna siku patachafuka[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] family za ajabu sana ptuuuKazi kwel Unampa mimba demu wako inafika miezi2 ghafla mama mkwe nae ana mimba [emoji23][emoji23]
[emoji16]Kitaliwa na nyenyere [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]