Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niroge basi, nichoshe nichoke nitulie...Yeah,the way you are....ukichoka utatulia TU mwenyewe 😜
Jirani siwezi kukataa... Kama mzunguko umesimama ghafla ni mimi huyo nimeababisha...Lakini tulikubaliana kitanda hakizai haramu jirani....pleasee
Ndiyo maana majanga yamekuwa mengi hata hayaelewiki😥Ni halali tunavyokufa kama sisimizi🙌
Ulikosea kuwapiga jamanKabla sija achana na mwanamke nilitembezs kichapo kuanzia kwa mama mkwe mke wangu na mdogo wake .
Walikula kiboko haswaa ili kubalance kipigo nilikua nakaa na mdogo wangu nilimpa taarifa mapema kua Leo lazima kiwake ...nikakwambia nikilianzisha asishangae na yeye anashambuliwa hvo nikimla makofi atulie tu asilete utata.
Basi bhana ndo hvo mpka leo sijawahi kuwaona ila mama mkwe naskia jicho lake likipata hitilafu na mwanamke naskia ana pengo .
Saizi dhambi imekuwa sifa na mtu anaonekana ndiyo yupo civilized kwa ujinga anaoufanyaHakika dhambi zimezidi🤔
Waswahili utatuweza, ukioa ama kuolewa kwenye familia zetu hizi ni kuwa mvumilivu tu.
Ndivyo kulivyo uswazi mkuuDingi zoba kweli🤣