Mna maoni gani kuhusu hili suala la uvamizi wa Al-Shababu hapa Palma?

Mna maoni gani kuhusu hili suala la uvamizi wa Al-Shababu hapa Palma?

Vita ya savimbi ilikua ideological zaidi kuliko maslahi.... Ilikua kipindi cha Cold War kwahyo Sauzi, US na Russia walikua ma strategic goals pale otherwise vita iwepo isiwepo hizo almasi wanachimba mabeberu miaka yote tena kwa mikataba mibovu kabisa.

Kwani Tanzania hapa wanaochimba dhahabu ni watu weusi? Kuna vita? Tunaambulia 30% ya Corporate Tax ila 70% inaenda kwa mabeberu ila je wamehitaji kikundi cha waasi ili wanufaike na madini? Hivi kule DRC unahitaji waasi ndio uchimbe madini ilihali mabeberu wanachimba kwa mikataba ya kinyonyaji miaka yote?

Hoja iwe waasi wanatumika na mabeberu ili kudhoofisha mababeru wenzao waliopewa mikataba halali ya kuchimba ila kusema beberu ategemee waasi ili avune rasilimali ni kupotosha ukweli.

Pengine histoeia hufahamu ila Kabila pamoja na kudai mabeberu ni wezi wa madini lakini ndio aliwatumia kuchimba almasi na dhahabu na yye aliambulia 20% pekee huku 40% ikienda kwa kina Munangagwa na Angola na 40% kwa Wafaransa!! Ssa hapo Beberu na waasi kuna correlation gani?
Mkimaliza kubishana nitawaambia kitu kwa nini vita haziishi Congo
 
Kuwa tyr kuna kampuni za kizungu(mabeberu) zinachimba ndio sababu ya kutokuoa na conflict of interest?

Unajifanya hujui nini kilifanya vita isiishe upesi Cabinda? Hujui kuwa ni baada ya vita baridi ndio Savimbi mabeberu walimtosa? Acha porojo zako.
so beberu ni nani!!!????
 
Mkimaliza kubishana nitawaambia kitu kwa nini vita haziishi Congo
Pitia huku then niambie kuna tofauti gani kati ya mabeberu kuchimba madini kukiwa na vita ila washindwe kukiwa na amani!!!

 
Hofu ya mabeberu ni siasa safi Africa, wao hufadhiri vikundi vya chokochoko nchi isitawalike serikali ikae ikiwaza vita, kuvamiwa wakati wowote, kununua siraha huku wao kwao wakiendelea kwa vyote bila hofu unless wamegeukana wenyewe kwa wenyewe ambayo ni ngumu na mbaya zaidi kupelekea vita kuu ya dunia.

Africa ikiendelea manaake hata hizo tender wanapata kwa sasa itakuwa ni kwa mbinde, mali zetu zitaongezewa dhamani hapa hapa na kuwaongezea mzigo wa gharama, in short, jamaa wanapenda sana vya kunyonga kuliko vya kuchinjwa kwa utaratibu.

Kwa kutumia kanuni ya devide and rule, wanaweza kuwarubuni wapinzani wakawa waasi, at the same time wanawarudia watawala na ahadi rukuki kama panya anavyong'ata na kupuliza.
Ambacho sijaelewa mbona wakati wa amani wanapewa mikataba ya kinyonyaji kabisa kuchimba rasilimali ssa wategemee vikundi vya magaidi Ili iweje.

Mfano hapo msumbiji wana mikataba halali kabisa ya kuvumbua na kuchimba gesi ssa hapo gaidi wamhitaji wa nini?

Tanzania hapa zaidi ya miaka 20 wanaochimba ni mabeberu tena mikataba ya kijizi kabisa ssa walihitaji magaidi hapa TZ ili tuwape hyo mikataba?

Unaweza tusaidia hta jina la nchi moja ambalo madini yake hayachimbwi na beberu kwa sababu tu ina amani.

Na mimi ntakutajia list ya nchi zaidi ya 20 ambazo zinatwangana kwa miaka mingi sasa na hakuna madini.
 
Ambacho sijaelewa mbona wakati wa amani wanapewa mikataba ya kinyonyaji kabisa kuchimba rasilimali ssa wategemee vikundi vya magaidi Ili iweje.

Mfano hapo msumbiji wana mikataba halali kabisa ya kuvumbua na kuchimba gesi ssa hapo gaidi wamhitaji wa nini?

Tanzania hapa zaidi ya miaka 20 wanaochimba ni mabeberu tena mikataba ya kijizi kabisa ssa walihitaji magaidi hapa TZ ili tuwape hyo mikataba?

Unaweza tusaidia hta jina la nchi moja ambalo madini yake hayachimbwi na beberu kwa sababu tu ina amani.

Na mimi ntakutajia list ya nchi zaidi ya 20 ambazo zinatwangana kwa miaka mingi sasa na hakuna madini.
Hujaelewa point ya msingi, nchi ya Africa ikiwa na raisi puppet kwao hutaona vita ya moja kwa moja unless ameanza kupingana nao, nchi kama Tanzania walichokifanya ni kuwatengenezea viongozi wa juu urahisi wa kuficha fedha zao nje, mfano Switzerland ambazo zinaongeza mzunguko kwao hivyo inakuwa rahisi hata wao kujichotea mali hapa bila bugudha kutokana na kuwa na siri za viongozi...

Sio lazima vita, inaweza ikawa blackmail na vitu kama hivyo, hujawahi sikia kisa cha mwanamfalme mmoja na issue ya Tembo, madawa ya kulevya, kunyongwa na umiliki wa bandari? Beberu ni beberu, awe mchina, mzungu, muafrika na wengineo.

Hakuna nchi isiyo na kitu chochote ardhini, kumbuka hata makinikia tuliambiwa ni vumbi tu. Tunahitaji kuwekeza sana kwenye elimu kuweza kupambanua yaliyomo na manufaa yake, mzungu huko katutangulia kufanya research nyingi sana duniani tena kwa ushirika wa wazawa wa eneo husika.
 
Viongozi wa Africa wanatamaa,wabinafsi,wakiwa madarakani hujifanya kama ni wamiliki wa nchi kifupi ni hopeless tu wachache hunufaika na rasilimali za nchi huku wakiwataka wengine waendelee kuwa wazalendo kitu ambacho hakipo....kisha wakishaharibu husingizia mabeberu wanawatumia raia.

Sisi watu weusi hatujielewi kabisa mimi hushangaa ninapoambiwa Nigeria ni nchi tajiri Africa,halafu nikizoom maisha yao na maisha ya nchi kama Morocco,Tunisia,Algeria, Misri etc.

Hata hiyo South ukiwatoa wale kaburu wale raia wao hakuna kitu mule. Mtu mweusi ni mtu mweusi tu,kila mtu anajikomboa na familia,ukoo na jamaa zake kwenye kula keki ya taifa the rest endeleeni kuwa wazalendo.
Bro Hichi kitu ndivyo kilivyo Wanasema WAJINGA NDIO WALIWAO Unajua yule kagame ndio alipindua leo tunaiona Ruanda inavopaa yalikuwa mambo kama haya hapa lkn akatokea kidume akasema nitakula nao kenge hawa, naam akapatia .
 
Eeenh, wewe kweli ni chizi. Cocaine na Alfganistan wapi na wapi?

Halafu mtu apigane vita kwa sababu ya mirungi?

YEHODAYA, ukiendelea hivi utazeekea JF bila ya kupata uteuzi wa aina yoyote hata kama huyo jamaa atakaa madarakani miaka 50!
Yaani Marekani akapigane vita Afghanistan miaka 10,atumie zaidi ya 2trillion USD kwa sababu ya mirungi na cocaine wakati anaweza kuingiza pure cocaine kutoka Mexico na Colombia bila kutumia nguvu. 😀 😀 😀 .Hesabu za kijinga sana
 
Vita ya Savimbi ilikuwa ideological kuliko maslahi? Kwamba hakuna aliyetaka kunufaika na almasi ya Angola?

Hapa Tanzania kulaumu kuwa tunapata 30% corporate tax ni kutaka kuleta lawama zisizofaa. Tufanye nini wakati hatuna mtaji? Unadhani kuikamata dhahabu ya Bulyanhulu bila mtaji ni rahisi. Lakini muwekezaji anakuja kuchimba kwa kupata vibari na taifa linanufaika. Tofauti na kufanyiwa ubabe wa kibeberu.

Drc waaasi wanateka maeneo na kuchimba madini kwa manufaa yao huku wakisaidiwa na mabeberu. Ndio maana ili Kabila apate hata kiduchu aliamua apate backup ya Zim na Angola.
Nchi tajiri kama Tanzania inakosaje capital ya kuwekeza kwenye uchimbaji madini?
 
Nasikia kiongozi wa hao jamaa ni mtanzania na kwa sasa anatafutwa na police wa Tanzania,akivuka mpaka kuja kwa waganga wake,wanamdaka na kumpoteza
 
Mtanzania yoyote anaechimba dhahabu 70% yake 30%mapato na hii ni kwenye migodi ya wachimbaji wadogo ila kwenye iyo 30% SIO yote huenda serekalini ss sijui unajaribu kusema nn??
Vita ya savimbi ilikua ideological zaidi kuliko maslahi.... Ilikua kipindi cha Cold War kwahyo Sauzi, US na Russia walikua ma strategic goals pale otherwise vita iwepo isiwepo hizo almasi wanachimba mabeberu miaka yote tena kwa mikataba mibovu kabisa.

Kwani Tanzania hapa wanaochimba dhahabu ni watu weusi? Kuna vita? Tunaambulia 30% ya Corporate Tax ila 70% inaenda kwa mabeberu ila je wamehitaji kikundi cha waasi ili wanufaike na madini? Hivi kule DRC unahitaji waasi ndio uchimbe madini ilihali mabeberu wanachimba kwa mikataba ya kinyonyaji miaka yote?

Hoja iwe waasi wanatumika na mabeberu ili kudhoofisha mababeru wenzao waliopewa mikataba halali ya kuchimba ila kusema beberu ategemee waasi ili avune rasilimali ni kupotosha ukweli.

Pengine histoeia hufahamu ila Kabila pamoja na kudai mabeberu ni wezi wa madini lakini ndio aliwatumia kuchimba almasi na dhahabu na yye aliambulia 20% pekee huku 40% ikienda kwa kina Munangagwa na Angola na 40% kwa Wafaransa!! Ssa hapo Beberu na waasi kuna correlation gani?
 
Hujaelewa point ya msingi, nchi ya Africa ikiwa na raisi puppet kwao hutaona vita ya moja kwa moja unless ameanza kupingana nao, nchi kama Tanzania walichokifanya ni kuwatengenezea viongozi wa juu urahisi wa kuficha fedha zao nje, mfano Switzerland ambazo zinaongeza mzunguko kwao hivyo inakuwa rahisi hata wao kujichotea mali hapa bila bugudha kutokana na kuwa na siri za viongozi...

Sio lazima vita, inaweza ikawa blackmail na vitu kama hivyo, hujawahi sikia kisa cha mwanamfalme mmoja na issue ya Tembo, madawa ya kulevya, kunyongwa na umiliki wa bandari? Beberu ni beberu, awe mchina, mzungu, muafrika na wengineo.

Hakuna nchi isiyo na kitu chochote ardhini, kumbuka hata makinikia tuliambiwa ni vumbi tu. Tunahitaji kuwekeza sana kwenye elimu kuweza kupambanua yaliyomo na manufaa yake, mzungu huko katutangulia kufanya research nyingi sana duniani tena kwa ushirika wa wazawa wa eneo husika.
Awewe beberu,mchina au mhindi,Hakuna anayhetaka kufanya biashara sehemu yenye vita wakati anaweza ku loby viongozi wajinga wajinga wa Africa na akapewa umiliki wa rasilimali hata kwa 90% na kuchimba kiulaini kabisa..
 
Mtanzania yoyote anaechimba dhahabu 70% yake 30%mapato na hii ni kwenye migodi ya wachimbaji wadogo ila kwenye iyo 30% SIO yote huenda serekalini ss sijui unajaribu kusema nn??
Wachimbaji wadogo wanachangia 6-10% ya mapato yote ya madini meaning ni kama tone la damu baharini!!

Hoja ni kwamba bado mabeberu wanafaidika na dhahabu zetu whether kuna vita ama lah kwahiyo napinga hoja kwamba ili wanufaike na madini eti ni lazima watumie magaidi.

Hyo pesa ya kufadhili magaidi si bora watumie kuhonga serikali ili wapate mikataba inayo wa favor.
 
Mtu mweusi siku zote hutoa kisingizio hafifu kuoanisha laana yake na mafanikio ya mzungu jambo ambalo linasababisha aendelee kuwa mtumwa siku zote duniani.

Je kwa nini hao wanaoitwa magaidi wawe ni wa kutoka imani moja tu na kama wanatumiwa kwa nini iwe ni wao tu kwa nini wasikatae kutumiwa na wale wanaoamini kwamba ni makafiri??

Siku zote siikubali hii porojo ya kusema haya matukio yanachochewa na wazungu wakati wahanga wakubwa wa huu uovu ni hao hao wazungu. Je huko Kibiti walikoanzia kwenyewe kulikuwa na rasilimali gani. Matatizo ya waafrika yanasababishwa na waafrika wenyewe, huo ndio ukweli.
 
Habari wadau!

Kutokana na vyanzo mbalimbali vya vyombo vya habari inasemekana kikundi cha watu wajulikanao kama Al-shababu wamevamia mji wa Palma.

Lakini kuna nadharia mbalimbali zimeenea mitaani kwamba watu hao waliovamia Msumbiji au jamhuri ya watu wa Mozambique sio Al-shabab bali ni siasa za mabeberu na uvamizi wa mabeberu baada ya ugunduzi wa gesi eneo la kaskazini mwa mji wa Maputo zenye reserve estimate ya 425Billion Cubic meter na hule ugunduzi wa gesi 40km kutoka pwani ya mji wa Calbo Delgado

Wataaramu wa mambo mnasemaje kuhusu hili? Je ni ishu ya Al-shababu au Al-shababu ndio mabeberu?

View attachment 1725358
Hapo ni kupigania pesa za ges, watakua wamerushana
 
Back
Top Bottom