Hujaelewa point ya msingi, nchi ya Africa ikiwa na raisi puppet kwao hutaona vita ya moja kwa moja unless ameanza kupingana nao, nchi kama Tanzania walichokifanya ni kuwatengenezea viongozi wa juu urahisi wa kuficha fedha zao nje, mfano Switzerland ambazo zinaongeza mzunguko kwao hivyo inakuwa rahisi hata wao kujichotea mali hapa bila bugudha kutokana na kuwa na siri za viongozi...
Sio lazima vita, inaweza ikawa blackmail na vitu kama hivyo, hujawahi sikia kisa cha mwanamfalme mmoja na issue ya Tembo, madawa ya kulevya, kunyongwa na umiliki wa bandari? Beberu ni beberu, awe mchina, mzungu, muafrika na wengineo.
Hakuna nchi isiyo na kitu chochote ardhini, kumbuka hata makinikia tuliambiwa ni vumbi tu. Tunahitaji kuwekeza sana kwenye elimu kuweza kupambanua yaliyomo na manufaa yake, mzungu huko katutangulia kufanya research nyingi sana duniani tena kwa ushirika wa wazawa wa eneo husika.