Mna Siku 4 tu za Kushangilia Ushindi wenu wa Tigo Pesa wa Jana, ila Jumapili mtajuta Kukutana na Mbabe wa Magoli mengi mengi

Mna Siku 4 tu za Kushangilia Ushindi wenu wa Tigo Pesa wa Jana, ila Jumapili mtajuta Kukutana na Mbabe wa Magoli mengi mengi

Tunataka tutoe Salamu kwa Wydad Casablanca FC na Mitambo yetu yote na Mbinu zetu zote za Kimafia na Kiuchawi tutazijaribia Kwenu Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Mkapa.

Tukiwakosa GENTAMYCINE nahama rasmi Tanzania na kurejea Kwetu Gisenyi nchini Rwanda.
.
Screenshot_20230212-212320.jpg
 
Tunataka tutoe Salamu kwa Wydad Casablanca FC na Mitambo yetu yote na Mbinu zetu zote za Kimafia na Kiuchawi tutazijaribia Kwenu Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Mkapa.

Tukiwakosa GENTAMYCINE nahama rasmi Tanzania na kurejea Kwetu Gisenyi nchini Rwanda.
 
Nyie pigeni Domo tu, siku hiyo mkipeng'ewa kamasi matakoni usije na thread ya kuwalaumu hao wenye makomwe kama vichwa vya treni
 
Tunataka tutoe Salamu kwa Wydad Casablanca FC na Mitambo yetu yote na Mbinu zetu zote za Kimafia na Kiuchawi tutazijaribia Kwenu Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Mkapa.

Tukiwakosa GENTAMYCINE nahama rasmi Tanzania na kurejea Kwetu Gisenyi nchini Rwanda.
Wewe bado mdogo sana kwa greatest off all time.yani hata huingii robo. Unajisifia bure kumbe wewe mweupe tu.tumekugundua ufanyikazi unashinda karume,yanayo ongelewa pale ndo unaleta huku..Acha ungexe
 
Tunataka tutoe Salamu kwa Wydad Casablanca FC na Mitambo yetu yote na Mbinu zetu zote za Kimafia na Kiuchawi tutazijaribia Kwenu Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Mkapa.

Tukiwakosa GENTAMYCINE nahama rasmi Tanzania na kurejea Kwetu Gisenyi nchini Rwanda.
Unaumwa si bure, Mikia FC hawa waifunge Yanga....aaah wapi?
 
Kwa Ujinga huu halafu ndiyo ujilinganishe na kamanda Greatest Of All Time pamoja na mbabe wa Vita OKW BOBAN SUNZU wewe siyo level za hao magwiji[emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani ripoti ya CAG imeathiri mpaka akili za Watanzania. Ukiona threads zinazoanzishwa na the so called GTs humu unabaki kuomba Bunge lisijadili ripoti ya ubadhirifu wa fedha maana linaweza kuingiza kipengele cha ubadhirifu wa weledi ikawa dhahama.
 
Kwa Ujinga huu halafu ndiyo ujilinganishe na kamanda Greatest Of All Time pamoja na mbabe wa Vita OKW BOBAN SUNZU wewe siyo level za hao magwiji😂😂😂
Greatest Of All Time nilishindanishwa nae katika Mchuano na nikamshinda je, Pumbavu Wewe ulikuwa wapi Kumpigia Kura ili anishinde Mwamba GENTAMYCINE?

OKW BOBAN SUNZU unayemsifu hapa hata hakuwa Nominated badala yake akawa anawahimiza Watu ( Members ) wasinipigie Kura Mwamba GENTAMYCINE lakini bado Nikashinda je, leo unapata wapi Uhalali wa Kunifananisha nae huyo Juha ( Fool ) Mwandamizi hapa JamiiForums?

Ushindi nilioupata GENTAMYCINE sikujipa Mwenyewe bali nilipewa na Members Werevu na Wanaojitambua huku wakiujua Uwezo wangu mkubwa na wa Kipekee wa Kiuwasilishaji wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums hivyo kama ni Kulaumu Walaumu wao na siyo Mimi sawa?

Mwisho nikuombe tafuta Shindano lolote like kisha jiweke Wewe na hao Fools Wenzako uliowataja hapa halafu shindanishweni na Mimi GENTAMYCINE muone kama sitowashinda na najua nikiwashinda kama Kawaida yenu mtakimbilia kusema kuwa nina Multiple IDs ambazo nazitumia Kujipigia Kura.

Mwenyezi Mungu hawezi Kuniumba Mja wake GENTAMYCINE na Kunibariki na Shani / Tunu Kuu Nne ( 4 ) tukuka za kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' halafu nisipendwe JamiiForums, nisiwe na Mvuto na Ushawishi mpaka kuwa na Utajiri wa Followers 149+ hapa.

Umeshajiuliza Swali ni kwanini 99.9% ya wale Wanaonichukia GENTAMYCINE na wamekuwa Wakihubiri hivyo hapa JamiiForums ndiyo hao hao Wanaongoza Kunisoma, Kunifuatilia na hata Kuchangia Mada zangu 24/7 hapa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Cc: Interlacustrine R, Proved, Extrovert etc
 
Tunataka tutoe Salamu kwa Wydad Casablanca FC na Mitambo yetu yote na Mbinu zetu zote za Kimafia na Kiuchawi tutazijaribia Kwenu Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Mkapa.

Tukiwakosa GENTAMYCINE nahama rasmi Tanzania na kurejea Kwetu Gisenyi nchini Rwanda.
Mmempa tunguli Gadiel akachome uwanjani?
 
Aden Rage anazidi kung'aa tu kwa ile kauli yake ya kujinyakulia point 3 za UMBUMBUMBU pale Simba [emoji1787]
Na je, vipi ile Kauli ya aliyekuwa Kocha wenu Mkuu anayewadai Fedha zake hadi leo na muda wowote mnaweza Kupewa Adhabu Kali na FIFA Mbelgiji Luc Eymael aliposema ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe?

Nasubiri jibu lako.
 
Na je, vipi ile Kauli ya aliyekuwa Kocha wenu Mkuu anayewadai Fedha zake hadi leo na muda wowote mnaweza Kupewa Adhabu Kali na FIFA Mbelgiji Luc Eymael aliposema ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe?

Nasubiri jibu lako.
Lipeni pesa za Marehemu Mafisango kwanza ndipo mje kuzura humu JF
 
Back
Top Bottom