hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Nilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini.
Mohamed Kawaida, Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga), wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani, fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano, migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. Tofauti na kwetu Chama kimoja, lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia, huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza.
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo, tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka! Nini kifanyike?
Mohamed Kawaida, Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga), wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani, fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano, migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. Tofauti na kwetu Chama kimoja, lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia, huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza.
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo, tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka! Nini kifanyike?