Mnaambiwa: Msijichanganye kwenye makato mengine ya watoa huduma yaani benki/kampuni ya simu na VAT. Tozo ya serikali inajitegemea

Mnaambiwa: Msijichanganye kwenye makato mengine ya watoa huduma yaani benki/kampuni ya simu na VAT. Tozo ya serikali inajitegemea

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/-

Pia tusichanganye makato mengine ya watoa huduma yaani benki au kampuni ya simu na VAT.

Mfano anayetuma shilingi 20,000/- makato ya kampuni ya simu ni shilingi 2,288.3/-, makato ya VAT ni shilingi 411.87/- na tozo ya Serikali tunayozungumzia ni shilingi 383/- tu. =Gerson msigwa

👉Ndugu watanzania mjiandae kuhesabiwa.
 
Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/-

Pia tusichanganye makato mengine ya watoa huduma yaani benki au kampuni ya simu na VAT.

Mfano anayetuma shilingi 20,000/- makato ya kampuni ya simu ni shilingi 2,288.3/-, makato ya VAT ni shilingi 411.87/- na tozo ya Serikali tunayozungumzia ni shilingi 383/- tu. =Gerson msigwa

👉Ndugu watanzania mjiandae kuhesabiwa.
Tunahitaji another strugle to Independence... Not yet Uhuru!
 
Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/-

Pia tusichanganye makato mengine ya watoa huduma yaani benki au kampuni ya simu na VAT.

Mfano anayetuma shilingi 20,000/- makato ya kampuni ya simu ni shilingi 2,288.3/-, makato ya VAT ni shilingi 411.87/- na tozo ya Serikali tunayozungumzia ni shilingi 383/- tu. =Gerson msigwa

👉Ndugu watanzania mjiandae kuhesabiwa.
Kwani hiyo iliyopunguzwa ilianza lini na nani aliianzisha?
 
Msaada Tozo za Serikali na VAT anakusanya nani?Kama ni Serikali kwann wasiache hiyo VAT inayolipwa wakaleta Tena tozo?
 
Hivi wakinikata maini na figo ni tozo kiasi gani??
 
Msaada Tozo za Serikali na VAT anakusanya nani?Kama ni Serikali kwann wasiache hiyo VAT inayolipwa wakaleta Tena tozo?
Na bado mtoa huduma iwe bank au kampuni ya simu atalipa kodi huko huko serikalini.
 
Back
Top Bottom