Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :

Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....
 
Mkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :

Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....
Yaaan anaweza kimbilia hata kwenye kikundi cha watu
 
Tunachanganya nini? Kila mwanamke ni individual kuna vitu yeye mwenye anapenda.
We unione natembea alafu unifuate kwa nyuma unanichombeza sikioni? Si nitakuona kichaa nikukimbie?
Kwako nafikiri mbinu yangu itakunasa.
Nadondosha 10k nyuma yako, nakuita..samahani mrembo umedondosha[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndani ya note ntaweka kimemo na namba...au papo hapo nakunong'oneza[emoji23][emoji23]
 
Samahani ikiwa nitakukwaza Dada, kiukweli umejaliwa neema za kipekee sana kiuumbwaji, hakika unaonekana una mema zaidi ya haya nionayo kwa macho ya nyama katika mwili wako kiuumbwaji.

Naitwa Mr Baba lao, je wewe waitwa nani Mama?



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂 yuck!
 
Back
Top Bottom