spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Utaonekana una utani mzuri au mcheshi Only if una pesa au mtanashati
Kama wewe ni kama mimi Kaa mbali
Kama wewe ni kama mimi Kaa mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii style yako imenijulisha level zako ni zipi. Wapo labda watakaonasa.Kwako nafikiri mbinu yangu itakunasa.
Nadondosha 10k nyuma yako, nakuitwa..samahani mrembo umedondosha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya note ntaweka kimemo na namba...au papo hapo nakunong'oneza[emoji23][emoji23]
Wala usijitutumue hamnaga ujaja saaana[emoji23]Hii style yako imenijulisha level zako ni zipi. Wapo labda watakaonasa.
Mwanamke upo..Sisi weusi ni cheusi mambo 😂😂😂😂
Wanawake hawaeleweki hasa hawa wanaoangalia movies wewe jilipue tu kwa gia yoyote kufanikiwa mwachie Mungu. Ukitukanwa jipanguse endelea na safari yako ukikubaliwa kusikilizwa una asilimia kubwa sana ya kupiga.Sasa mbona mnatuchanganya jaman
Hahahaaaaa nyie ni sista mambo vp nimependa mguu wako huo 😄Sisi weusi ni cheusi mambo 😂😂😂😂
Kitendo cha kunifuata nyuma inanijulisha level zako ni zipi.Inategemea unafatwa na mtu wa aina gani.. kwa mtu kama mimi nikikufata kwa nyuma na ukageuka kunitizama lazima ulegeze mwendo.
Wanawake hawako hivyo mkuu vinginevyo wasio na hela wangeushi bila kupata wanawake.Utaonekana una utani mzuri au mcheshi Only if una pesa au mtanashati
Kama wewe ni kama mimi Kaa mbali
Kama mwanamke anapita zake mwache apite, usimtokee, hayo ni mambo ya teenagers. Halafu siyo tabia nzuri, ni uhuni kumtokea mwanamke anayepita zake.Wakuu unaweza kutana na pisi kali sana njia lakini inatembea na kuisimamisha tu inaeza ikachana mkeka ukaibika sana, maana saa nyingne unakuta ni mazingira yana watu.
Ofcoz inakuwaga mziki sana kuanzisha maongezi kwenye mazingira kama haya, ningependa kwa mwenye trick atusaidie.
NipoMwanamke upo..
Nimejaribu ku Google apa wanasema tembea naye sambamba ,mwachie umbali WA mita mbili ,kingine usiwe serious tabasamu Kwa mbali, afu usiongee Kwa kujishusha Sana wala usiongee Kwa ujasiri Sana size ya Kati Tu,"sema dada nimeona we PISI KALI Sana nimeona nikupe hai" then achia glachi taratibu uku unavuta mafuta taratibu ukiona inazimazima tuh achana nayeHii style yako imenijulisha level zako ni zipi. Wapo labda watakaonasa.
Ni weweWewe ndio pisikali?
Yaan Gia ya kumwambia rafiki yake huwa haijawahi kufanikiwa ivi unawajua wanawake kweli na kuhakikishia hata mwambia na atahakikisha hauwi naye,na uko unaposema palipotulia utampata mbadala lakin siyo uyo anayepitaKama mwanamke anapita zake mwache apite, usimtokee, hayo ni mambo ya teenagers. Halafu siyo tabia nzuri, ni uhuni kumtokea mwanamke anayepita zake.
ila kama upo kwenye basi, mpo dukani, mmetoka kanisani mnapeana mkono wa heri, mpo chuoni pamoja etc..
Ni vizuri kuwe na kitu kinachowajumuisha, otherwise tafuta rafiki yake umwambie unampenda rafiki yake, there's nothing wrong with it and it's more respectful na uta-stand more chances.
Lazima kuwe na kitu kinachowaunganisha.
Labda kama wauza busta na matundaWanawake hawako hivyo mkuu vinginevyo wasio na hela wangeushi bila kupata wanawake.
MBINU HIYO HAIFAI INAWEZA IKAKULETEA MATATIZO AKIFIKIRI NI ZILE MBINU ZA VIBAKA WA ZAMANI WALIOKUA WANADONDOSHA PESA MAKUSUDI ILI UKIIOKOTA WAKUKABE NA KUKUIBIA.Unaangusha buku 10 karibu yake halafu unamwambia dada umeangusha hela. Jibu lake baada ya hapo ndio litaamua approach inayofuata. Akidai ni ya wa kwake basi hilo ni gube gube liuza mbwinya hivyo usihangaike na kutongoza wewe tangaza dau lako tu.
Zaman nilikuwa napenda Sana weupe lakin sikuizi hata weus wananivutia lakin usiwe kama mkaaSisi weusi ni cheusi mambo 😂😂😂😂