Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Miaka hiyooo bado niko mschana, nilikuwa natembea mtaa mbao unatoka stesheni na kuungana na barabara kuu ya mji husika, (ilikuwa nje ya Dar es Salaam).

Sasa nikiwa natembea pembezoni mwa barabara ghafla likasimama gari aina ya escudo short chases mbele yangu kidogo, ilikuwa inatoka upande huohuo wa stesheni kuelekea barabara kuu, nakumbuka ilikuwa rangi nyeusi.
Halafu aliyekuwa anaendesha akafungua mlango wa abiria akaniambia ingia twende.....!!!

Nikabaki nashangaa, akashuka akazunguka upande wa pili akanifata na kunishika mkono....

Ingia twende......!!! Nikajikuta namtoa mkono wake ulionishika halafu nikamwambia hapana asante.

Hakuongea neno jingine akafunga mlango wake wa abiria akazunguka kwenye gari akaingia barabarani na kuondoka....!!!

Hii taswira imekuwa ikijirudia mara kwa mara kwaye akili yangu kwa muda mrefu sijui kwanini.....🤔🤔🤔🤔
Nabaki najiuliza tuu, hivi ile siku ningeingia kwenye ile escudo nini kingetokea......!!!!

Well sijilaumu ila nililelewa kuwa makini na watu ambao huwafahamu kabisa, nafsi ilisita basi ikaishia hapo.

Ila wanaume mnakuwaga mnarisk sana saa ingine maisha yenu....!!!
Sijui hapo ndo kichwa cha chini kinakuwa kinafanya kazi....!!!!🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
 
Miaka hiyooo bado niko mschana, nilikuwa natembea mtaa mbao unatoka stesheni na kuungana na barabara kuu ya mji husika, (ilikuwa nje ya Dar es Salaam).

Sasa nikiwa natembea pembezoni mwa barabara ghafla likasimama gari aina ya escudo short chases mbele yangu kidogo, ilikuwa inatoka upande huohuo wa stesheni kuelekea barabara kuu, nakumbuka ilikuwa rangi nyeusi.
Halafu aliyekuwa anaendesha akafungua mlango wa abiria akaniambia ingia twende.....!!!

Nikabaki nashangaa, akashuka akazunguka upande wa pili akanifata na kunishika mkono....

Ingia twende......!!! Nikajikuta namtoa mkono wake ulionishika halafu nikamwambia hapana asante.

Hakuongea neno jingine akafunga mlango wake wa abiria akazunguka kwenye gari akaingia barabarani na kuondoka....!!!

Hii taswira imekuwa ikijirudia mara kwa mara kwaye akili yangu kwa muda mrefu sijui kwanini.....🤔🤔🤔🤔
Nabaki najiuliza tuu, hivi ile siku ningeingia kwenye ile escudo nini kingetokea......!!!!

Well sijilaumu ila nililelewa kuwa makini na watu ambao huwafahamu kabisa, nafsi ilisita basi ikaishia hapo.

Ila wanaume mnakuwaga mnarisk sana saa ingine maisha yenu....!!!
Sijui hapo ndo kichwa cha chini kinakuwa kinafanya kazi....!!!!🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
We umekata a lift ya hela kibwege sana, yule alikuwa mtoto wa kufikia wa mzee Lowassa. Ndio mwanasheria wake binafsi anaesimamia mzigo wote wa mshua. Pole sana
 
Nimejaribu ku Google apa wanasema tembea naye sambamba ,mwachie umbali WA mita mbili ,kingine usiwe serious tabasamu Kwa mbali, afu usiongee Kwa kujishusha Sana wala usiongee Kwa ujasiri Sana size ya Kati Tu,"sema dada nimeona we PISI KALI Sana nimeona nikupe hai" then achia glachi taratibu uku unavuta mafuta taratibu ukiona inazimazima tuh achana naye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "Achia clutch taratibu huku ukiongeza mafuta" watu wa auto hawawezi elewa huu mziki

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
We umekata a lift ya hela kibwege sana, yule alikuwa mtoto wa kufikia wa mzee Lowassa. Ndio mwanasheria wake binafsi anaesimamia mzigo wote wa mshua. Pole sana

Aahahahaaaahahaa umenifanya nitabasamu huku naangalia dirishani jinsi matone ya mvua yanavyogonga ardhini na kutuama juu ya uso wa nchi.

Acha uchokozi banaa..... aahahahaha

Kwani, alikusimulia hili tukio...?
Umejuaje ndo huyo niliyekutana naye?
Ilikuwa ndo tabia yake hadi akapata mke kwa style hiyo?
Yawezekana ni kweli, maana alikuwa rangi kama yangu si mweusi si mweupe ila mrefu kiasi cha kusema ni mmasai...

Taswira yake siikumbuki, ila hilo tukio halinitoki sijui kwanini hata....!!!🤔🤔🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️

Well, pia huwezi jua, kupishana na lifti ya hela si ajabu nisingewezana nayo....
Malezi niliyokulia tofauti na waschana wa kisasa....
Kuna vipaumbele nilifunzwa kuviangalia kwa mwanaume na si mali au pesa au nyadhifa....

Isitoshe, mara nyingi, watoto au familia za nyoka huwa wanaoana wenyewe kwa wenyewe... ngumu sana kama sina chimbuko la nyoka nikaolewa kwenye familia ya nyoka...

Wewe sema ukweli kuwa umetania tuu, ila mie nimesimulia ukweli wa tukio halisi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "Achia clutch taratibu huku ukiongeza mafuta" watu wa auto hawawezi elewa huu mziki

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app


Umenipa hamu weekend hii nikaliamshe land-rover au mkonge nichezeshe kirungu kuanzia namba 1 hadi 5...😜

Kuendesha gari ya manual raha sana, basi tuu auto zinalemaza mnoo.
 
Kama upo nae kwenye oposite direction mchokoze kwa ku mwashie pass light ( hapa na maanisha visifa kidogo sana vya uchokozi ili awe free na wewe) baada ya hapoa mwekee beria kidogo la tabasamu alafu endelea kiaina chapu kwa kumfata usawa wake

Kama mpo kwenye same direction unga bog mchokoze sifia kidogo alafu uwe serious. Usiwe mwongeaji sana kuwa short end clear chapu alafu chukua namba ng'oa zako, jinsi ya kusepa jipe udhuru wa kiaina sana ( fanya kama umesahau kitu au kuna mahali unapitia chapu alafu mkwepe) . Mpotezee siku tatu then mpandie hewani.


Hii mbinu ni kwa wale mabogazi pia mkumbuke mwanamke hasimami kirahisi wewe unga nae na usiogope kuaibika, kadiri mwanamke anavyo kuaibisha mbele za watu ndivyo kadiri unavyokua jasiri.

WAZOEFU TUNASINDIKIZA HADI NYUMBANI
 
hv kale ka mbinu ka kujifanya kuna mahali umemuona/ una mfananisha bado kanafanya kazi kweli?
utasikia " dada habari, samahani sijui nimekufananisha au ndo wewe... hv hatujaonana mahali kweli..." au kuna ile " mambo irene... (umejitungia tu jina lolote).... akisema samahani umenifananisha basi hapo hapo kashafungua maongezi... ndo wewe kujitambulisha... kumuulza jina lake na kumuelezea jins kafanana na irene mpaka uzuri wake etc.... then unajifanya na wewe unaelekea njia hyo hyo kwahyo sio mbaya kama utamsogeza kdg.. huko mbele ni mambo ya namba tayari ni mepesi...

kalisaidia saidia kidogo haka ka mbinu
 
Kama mwanamke anapita zake mwache apite, usimtokee, hayo ni mambo ya teenagers. Halafu siyo tabia nzuri, ni uhuni kumtokea mwanamke anayepita zake.

ila kama upo kwenye basi, mpo dukani, mmetoka kanisani mnapeana mkono wa heri, mpo chuoni pamoja etc..
Ni vizuri kuwe na kitu kinachowajumuisha, otherwise tafuta rafiki yake umwambie unampenda rafiki yake, there's nothing wrong with it and it's more respectful na uta-stand more chances.
Lazima kuwe na kitu kinachowaunganisha.
Kama jamaa hana cha kumuunganisha nae ina maana asing'oe pisi au?

Kikubwa mwanaume ni kujiamini , kuchukua hatua na kukubali lolote linaweza kutokea liwe zuri au baya kusubiria cha kuwaunganisha unaweza ukakosa mke hivi hivi kimasihara.

Nb. Kumbuka pia unapojitoa kufata mwanamke pisi ikikujibu hovyo usiijibu hovyo ijibu kibusara sana alafu tembea zako na usionyeshe kuchukia kwa majibu yake .
 
Back
Top Bottom