Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Unaongezea kua nikitembea naiona sura yako ardhini natembea huku naogopa kuikanyaga inabid nirud ndani......
☺️☺️😊😊😂😂🤣🤣

Samahani ikiwa nitakukwaza Dada, kiukweli umejaliwa neema za kipekee sana kiuumbwaji, hakika unaonekana una mema zaidi ya haya nionayo kwa macho ya nyama katika mwili wako kiuumbwaji.

Naitwa Mr Baba lao, je wewe waitwa nani Mama?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kiufupi haya mambo hayana formula ila kwa kias chake tu muonekano wa mtu hupelekea kuvutiwa au kuchukiwa kwa mtu husika haswa haswa pale unapokutana na hizi pisi kali za barabarani,

Kwahyo cha msingi kama mwanaume inatakiwa muda unapotoka unajiweka nadhifu kuanzia kimavazi mpka Kimwili, hapa sizungumzii kuvaa nguo za Kisharobaro,

ila namaanisha kuhakkisha unavaa nguo safi, viatu au sendo zako znakuwa safi, uoge vizuri, piga mswaki na pia Tengeneza nywele zako vizuri(nyoa vizuri),

Sio mtu unakuwa rafu rafu mchafu nywele kama Maiti iliyofukuliwa kwaajili ya upelelezi hapo lazima uonekane ni choka mbaya tu na utakataliwa na wanawake wengi wanaojielewa na wasiojielewa.

Cha muhimu ni unadhifu na Hatua inayobaki msalimie mwambie unaharaka unawah kazini ila unahitaji namba yake utawasiliana nae jioni ukiludi(hata kama huna kazi we Tumia hii kutiki ni 99% ),

kiuhalisia kam mdada kakuelewa atakupa tu namba na kam akikataa achana nae hii Dunia ina wanawake zaidi ya Billion 3+ kwahyo hakun haja yoyote ya kujivua utu wako ili tu upate namba yake.
 
Kama Hamna common ground mwache. Utamtongozaje mwanamke tu barabarani anatembea? Hata akikubali basi jua huyo mwanamke ni wa wengi. La sivyo, lazima u-establish a common ground.
Anything, there are so many things and places ambapo ukitulia utaipata.
Just chill and watch, don't be p***y hungry.
Mkuu nakuambia kuna demu mkipishana anaenda akitukana kwanini hujamtongoza ,na saa nyingine anasema kimoyomoyo ningekubali tuh hata angeniona Malaya powaa,sasa wewe unajinyima vitu vingi vinavyokuitaji Kwa kujipa majibu,test Tu uendelee kumsoma taratibuu.
 
Huwa naangalia uelekeo wake kama anaelekea ninakoenda namfata naongozana naanzisha stori

Kama anatokea mbele yangu ile stail ya kupishana hapo simsimamishi nampotezea

Ila demu niliempa lifti kwenye baiskeli yangu huwa simuombi hata namba maana najua ataamini nilimsaidia ili nimtongoze kwahiyo hata awe mzuri vipi sichuki namba yake.
Munguu
 
Wadada wengine wanajifunza kutokana na makosa ,unakuta gentaman alimtongaza akakaza fuvu akizani mwana atapambana afu anampotezea,alafu hatongozwi tena Kwa miez au miaka anakula kiapo akitokea mtu akaniomba namba sikatai na hii huwa inapelekea wengi waokote embe chini ya mbuyu
 
Mkuu nakuambia kuna demu mkipishana anaenda akitukana kwanini hujamtongoza ,na saa nyingine anasema kimoyomoyo ningekubali tuh hata angeniona Malaya powaa,sasa wewe unajinyima vitu vingi vinavyokuita Kwa kujipa majibu,test Tu uendelee kumsoma taratibuu.
No, nashukuru mungu nimeishi miji na kusoma shule na pisi nyingi sana. Huwa sitongozi barabarani, pia huwa simtokei mwanamke kama sina hela za kutosha.
Sijapata wengi but definitely had my share.
 
No, nashukuru mungu nimeishi miji na kusoma shule na pisi nyingi sana. Huwa sitongozi barabarani, pia huwa simtokei mwanamke kama sina hela za kutosha.
Sijapata wengi but definitely had my share.
Sawa jiwekee mipaka mwenye hata Yule mama mvuja damu alisema mpaka nishike pindo yesu angeondoka ilo pindo angelipata wap na hela za kutosha ni sh ngap
 
Mengn yanipite tu hua sinaga energy ya kumvamia demu gafla tunapoonana
 
Kutongoza siyo shida sana.

Tatizo Hawa viumbe wakishaingia line huishiwa gesi ila hawaishiwi mkaa
 
Sawa jiwekee mipaka mwenye hata Yule mama mvuja damu alisema mpaka nishike pindo yesu angeondoka ilo pindo angelipata wap na hela za kutosha ni sh ngap
Hilo ni jibu langu kwa ushauri alionipa niliyemjibu. Kwamba niingize tu gia.
Ndiyo nikamjibu Mimi huwa sipo hivyo kwa sababu pisi zipo nyingi tu, Hamna haha ya kumtongoza mwanamke barabarani.
Hizi ni principles zangu, nishazoea hivyo.
 
Hilo ni jibu langu kwa ushauri alionipa niliyemjibu. Kwamba niingize tu gia.
Ndiyo nikamjibu Mimi huwa sipo hivyo kwa sababu pisi zipo nyingi tu, Hamna haha ya kumtongoza mwanamke barabarani.
Hizi ni principles zangu, nishazoea hivyo.
Watu ambao wanakulaga chochote kinachokuja kwenye tageti lazima wawe na maprinciple
 
Mkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :

Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....

View: https://youtu.be/g0b9DgFfnMY?si=G6jhMbrPMUelFdwO

Nasinzia nikikuwaza (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza (oh oh)
Miaka rudi, miaka nenda (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza (oh oh)
Kila siku ya calendar (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza (oh oh)
 
Mimi Sina ujasiri wa kumtongoza mwanamke nisie mjua. Sina ujasiri kabisa wa kumsimamisha mwanamke nisie mjua barabarani .

Na ni principle yangu mwanamke ninae ingia kwenye uhusiano nae lazima nizoeane nae kwanza. Nimesha mbato Zaidi ya wanawake 60 lakini wote lazima niwazoee kwanza.

Mimi ni aina ya watu usipo nichangamkia nita mind my own business kama sikujui ila ukinichangamkia I will do the same...!

 
Kwenye daladala ni rahisi sana, au kwenye vituo vya daladala ni very easy, vijana mnakwama wapi!!
 
Mkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :

Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....
Hiki kingereza we ndo ulimfundisha master mpk uwe na 100% assurance atakuelewa?!!
 
Back
Top Bottom