Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mara nyingi inategemea na movements.. ila hutakiwi kumuita au kumsimamisha. Kwa mwanamke anaejielewa hatosimama.

Mwanaume unatakiwa unaunga TELA.. unakaa usawa wa mabega yake na kuanza kuchombeza kwa vimaneno like "Dada unamwendo...punguza bas speed tusalimiane"

Au ukaanza kwa compliments..
"Unanukia vizuri kwa kweli" lazima atabasam..
Akitabasam unampa nyingine "Tabasam lako tu mie hoi, sorry naitwa Mzee wa Bwax, wewe unaitwa nani kama hutojali?".
Hiii kitu haina formula,kuna wanawake visirani nyie hii dunia.. Ukute ambae ana bwana ana iphone 15pro max halafu anaendesha Ka baby walker.

Bro sister atasimama akuulize we kaka vipiiiiii exkyuz me
 
Mbona kutongoza ni rahisi lakin jinsi mnavyoandika mnaonyesha kabisa hamjui kutongoza? Hivi mmeshawahi kumiliki hata demu kweli?

Nikiwa form one nilikua na mbinu moja tu ya kutongoza ndo nilikua natumia kila mahali😄 ilikua namuangalia dem machoni muda mrefu bila kumwambia kitu akiniuliza mbona unaniangalia sana namjibu "kwasababu napenda kuona vitu vizuri" akianza kung'ata ng'ata kucha kabla hajafanya comeback nikaishiwa maneno namaliza kwanza mchezo.

Sasa wenzangu kutongoza hamuwezi kabisa mmeshakua watu wazima ila mbinu zenu ni zile zangu za chekechea
 
hv kale ka mbinu ka kujifanya kuna mahali umemuona/ una mfananisha bado kanafanya kazi kweli?
utasikia " dada habari, samahani sijui nimekufananisha au ndo wewe... hv hatujaonana mahali kweli..." au kuna ile " mambo irene... (umejitungia tu jina lolote).... akisema samahani umenifananisha basi hapo hapo kashafungua maongezi... ndo wewe kujitambulisha... kumuulza jina lake na kumuelezea jins kafanana na irene mpaka uzuri wake etc.... then unajifanya na wewe unaelekea njia hyo hyo kwahyo sio mbaya kama utamsogeza kdg.. huko mbele ni mambo ya namba tayari ni mepesi...

kalisaidia saidia kidogo haka ka mbinu
Hii ilishakuwa outdated na wengi wanaifaham na anakushtukia kirahis Tu anakupozea
 
Kama jamaa hana cha kumuunganisha nae ina maana asing'oe pisi au?

Kikubwa mwanaume ni kujiamini , kuchukua hatua na kukubali lolote linaweza kutokea liwe zuri au baya kusubiria cha kuwaunganisha unaweza ukakosa mke hivi hivi kimasihara.

Nb. Kumbuka pia unapojitoa kufata mwanamke pisi ikikujibu hovyo usiijibu hovyo ijibu kibusara sana alafu tembea zako na usionyeshe kuchukia kwa majibu yake .
Kama Hamna common ground mwache. Utamtongozaje mwanamke tu barabarani anatembea? Hata akikubali basi jua huyo mwanamke ni wa wengi. La sivyo, lazima u-establish a common ground.
Anything, there are so many things and places ambapo ukitulia utaipata.
Just chill and watch, don't be p***y hungry.
 
Mbona kutongoza ni rahisi lakin jinsi mnavyoandika mnaonyesha kabisa hamjui kutongoza? Hivi mmeshawahi kumiliki hata demu kweli?

Nikiwa form one nilikua na mbinu moja tu ya kutongoza ndo nilikua natumia kila mahali😄 ilikua namuangalia dem machoni muda mrefu bila kumwambia kitu akiniuliza mbona unaniangalia sana namjibu "kwasababu napenda kuona vitu vizuri" akianza kung'ata ng'ata kucha namaliza mchezo.

Sasa wenzangu kutongoza hamuwezi kabisa mmeshakua watu wazima ila mbinu zenu ni zile zangu za chekechea
Kuna mbinu moja nilijifunzaga natumiga Sana na huwa demu hata kama anataka kunijib vibaya huwa anashindwa ,ntamwambia madam ningependa kukufaham zaid,atajib kivip na mwambia Kwa muda nilionao NI mdogo ningependa tuongee meng but unaonaje ukiniachia namba tuzid kuwasiliana
 
Kama mwanamke anapita zake mwache apite, usimtokee, hayo ni mambo ya teenagers. Halafu siyo tabia nzuri, ni uhuni kumtokea mwanamke anayepita zake.

ila kama upo kwenye basi, mpo dukani, mmetoka kanisani mnapeana mkono wa heri, mpo chuoni pamoja etc..
Ni vizuri kuwe na kitu kinachowajumuisha, otherwise tafuta rafiki yake umwambie unampenda rafiki yake, there's nothing wrong with it and it's more respectful na uta-stand more chances.
Lazima kuwe na kitu kinachowaunganisha.
Kwani barabara haituunganishi ?
 
Mara nyingi inategemea na movements.. ila hutakiwi kumuita au kumsimamisha. Kwa mwanamke anaejielewa hatosimama.

Mwanaume unatakiwa unaunga TELA.. unakaa usawa wa mabega yake na kuanza kuchombeza kwa vimaneno like "Dada unamwendo...punguza bas speed tusalimiane"

Au ukaanza kwa compliments..
"Unanukia vizuri kwa kweli" lazima atabasam..
Akitabasam unampa nyingine "Tabasam lako tu mie hoi, sorry naitwa Mzee wa Bwax, wewe unaitwa nani kama hutojali?".
Mkuu hapa umetema madini ya maana sana
 
Unamfuata mbona simple sana, unamsalimia, unamsifia kapendeza(hata kama ni uongo) halafu unamueleza nia yako ya kumfuata.

Kwa maelezo sijui niwekaje ila kwa vitendo ni rahisi mno. Kikubwa ujiamini kama mwanaume. Siku ya kwanza huwa ni ngumu na ni rahisi.
Tuzungumzie umekutana mida ya kagiza ka usoni mbagala rangi 3 tuanzie hapo alaf tambua unakua stranger kwake....

Ntarud kukazia maarifa hapa ☺️😊
 
Mkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :

Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....
😂 Aisee
 
Back
Top Bottom