Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Kama mwanamke anapita zake mwache apite, usimtokee, hayo ni mambo ya teenagers. Halafu siyo tabia nzuri, ni uhuni kumtokea mwanamke anayepita zake.

ila kama upo kwenye basi, mpo dukani, mmetoka kanisani mnapeana mkono wa heri, mpo chuoni pamoja etc..
Ni vizuri kuwe na kitu kinachowajumuisha, otherwise tafuta rafiki yake umwambie unampenda rafiki yake, there's nothing wrong with it and it's more respectful na uta-stand more chances.
Lazima kuwe na kitu kinachowaunganisha.
Huyo rafiki yake mpaka umwone lini? watu wengine unamuona mara moja tu hutakaa umwone tena.
Binafsi nakua namfata ila sio ile mpaka ajue then nampita kiasi nakua nageuka kumuangalia kwa kuibia hapa unamfanya anakua attention na wewe then unapunguza mwendo akukute unamsalimia yanaanza hapo. Mambo ya kumfuata nyuma nyuma mtakuja kuitiwa wezi.
 
Huyo rafiki yake mpaka umwone lini? watu wengine unamuona mara moja tu hutakaa umwone tena.
Binafsi nakua namfata ila sio ile mpaka ajue then nampita kiasi nakua nageuka kumuangalia kwa kuibia hapa unamfanya anakua attention na wewe then unapunguza mwendo akukute unamsalimia yanaanza hapo. Mambo ya kumfuata nyuma nyuma mtakuja kuitiwa wezi.
We! nyuma nyuma anaweza piga ukunga.
 
Yaan Gia ya kumwambia rafiki yake huwa haijawahi kufanikiwa ivi unawajua wanawake kweli na kuhakikishia hata mwambia na atahakikisha hauwi naye,na uko unaposema palipotulia utampata mbadala lakin siyo uyo anayepita
Sasa hiyo ni bonge ya trick, labda kama hujiamini na unataka kuingia na gia za uongo.
Mara nyingi mwanamke ukiwa kwenye list ya wanaume anaoweza kuwa nao, rafiki yake atajua. na ukimwambia rafiki yake azima ujumbe utafika na namba utaipata.
 
Mara nyingi inategemea na movements.. ila hutakiwi kumuita au kumsimamisha. Kwa mwanamke anaejielewa hatosimama.

Mwanaume unatakiwa unaunga TELA.. unakaa usawa wa mabega yake na kuanza kuchombeza kwa vimaneno like "Dada unamwendo...punguza bas speed tusalimiane"

Au ukaanza kwa compliments..
"Unanukia vizuri kwa kweli" lazima atabasam..
Akitabasam unampa nyingine "Tabasam lako tu mie hoi, sorry naitwa Mzee wa Bwax, wewe unaitwa nani kama hutojali?".
Mwambaa huyu hapaaa😄😄😄
 
Huyo rafiki yake mpaka umwone lini? watu wengine unamuona mara moja tu hutakaa umwone tena.
Binafsi nakua namfata ila sio ile mpaka ajue then nampita kiasi nakua nageuka kumuangalia kwa kuibia hapa unamfanya anakua attention na wewe then unapunguza mwendo akukute unamsalimia yanaanza hapo. Mambo ya kumfuata nyuma nyuma mtakuja kuitiwa wezi.
kama mwanamke unamuona mara moja tu sasa unatakaje kuwa na uhusiano nae?
Yaani unamvamia tu mwanamke mtaani na kuanzisha uhusiano nae, hayo mambo ya kitoto. Hiyo style yako hupati pisi kali, maana kuna watu kama wewe zaidi ya elfu moja wanaofanya mambo kama hayo na yanmkera kwa sababu kashazoea.
Just be a gentleman, wasela huwa hawali pisi kali msijidanganye.
 
Chukua hii.
Kabla hujavamia anga za mtu jaribu kufuatilia ili ujue angalau mienendo yake , na vizuri kama anatembea kwa miguu yake ,unaweza kutembea kwa umbali hadi unajua ameendea wapi ,mara paap unamkuta anenda kufungua duka ,hapo sasa ndio shina.
Ila kupita njia tu ukamvamia ,pengine na yeye yumo mawindoni anatafuta dizaini zenu.
 
Huwa naangalia uelekeo wake kama anaelekea ninakoenda namfata naongozana naanzisha stori

Kama anatokea mbele yangu ile stail ya kupishana hapo simsimamishi nampotezea

Ila demu niliempa lifti kwenye baiskeli yangu huwa simuombi hata namba maana najua ataamini nilimsaidia ili nimtongoze kwahiyo hata awe mzuri vipi sichuki namba yake.
 
Wakuu unaweza kutana na pisi kali sana njia lakini inatembea na kuisimamisha tu inaeza ikachana mkeka ukaibika sana, maana saa nyingne unakuta ni mazingira yana watu.

Ofcoz inakuwaga mziki sana kuanzisha maongezi kwenye mazingira kama haya, ningependa kwa mwenye trick atusaidie.
Kwa hiyo hata kuuliza njia kizushi huwezi
 
Back
Top Bottom