Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

Samaki ndo wanajua wanapenda chambo za aina gani?

Wanajikuta wamevuliwa na hawajui wamevuliwaje. Usiamini maneno yao, tazama matendo yao (aina ya wanaume wanaotoka nao)

Watasema WANATAKA wanaume wa Type A ila ukitazama unaona WANATOKA NA wanaume wa Type C.

Je utakuwa Type A kama wanayosema wanataka au utakuwa universal type C ili uweze kutoka nao?

Wanawake hawapendi kuulizwa wanataka nini, na hawawezi kulijibu hilo swali kwa usahihi. Hii ni kwasababu wanajua wakisema ukweli wanaume watajibadilisha na kuwaigizia, mwisho wa siku wakishawekeza mapenzi kwao waje kugundua sio aina ya wanaume halisi waliowategemea.

Wanawake wanatoka na wanaume wanaojua nini wanawake wanataka bila ya kuwauliza - Wanaamini wanaume wa hivyo ni real - hawaigizi wala hawajibadilishi kuvutia wanawake. Wanaamini hao ni wanaume wenye msimamo na wanafaa kuwaongoza katika mahusiano. Sio bendera fata upepo wanaoyumbishwa na kila nyuchi ipitayo.

Kwa muktadha huo basi, waulize wavuvi na sio samaki.
 
Wakuu unaweza kutana na pisi kali sana njia lakini inatembea na kuisimamisha tu inaeza ikachana mkeka ukaibika sana, maana saa nyingne unakuta ni mazingira yana watu.

Ofcoz inakuwaga mziki sana kuanzisha maongezi kwenye mazingira kama haya, ningependa kwa mwenye trick atusaidie.
ita tu, psssssssiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Akigeuka unamwambia samahan unt ulovaa suti ya kaki, eti unaitwa nani......
 
Sa
Mimi Sina ujasiri wa kumtongoza mwanamke nisie mjua. Sina ujasiri kabisa wa kumsimamisha mwanamke nisie mjua barabarani .

Na ni principle yangu mwanamke ninae ingia kwenye uhusiano nae lazima nizoeane nae kwanza. Nimesha mbato Zaidi ya wanawake 60 lakini wote lazima niwazoee kwanza.

Mimi ni aina ya watu usipo nichangamkia nita mind my own business kama sikujui ila ukinichangamkia I will do the same...!

Sawa we are difference and from those differences ndo zinafanya mambo yaende vizur
 
Tuzungumzie umekutana mida ya kagiza ka usoni mbagala rangi 3 tuanzie hapo alaf tambua unakua stranger kwake....

Ntarud kukazia maarifa hapa ☺️😊
Kwa experience yangu huwa sifuatagi Ke ambae sijamuona vizuri anafananaje maana nna preference zangu. Kagiza ndio kazuri kanarahisisha kupunguza macho ya wengi
 
Sijawahi kumsimamisha mwanamke stranger kwenye kadamnasi hata kuomba namba tu siwezi hata awe kanivutia vipi.

Maamuzi/reaction yake lazima itaathiriwa tu na huo uwepo wa watu wengine na kwa asilimia kubwa mkeka utachanika unless awe ni wale wauzaji.
 
Na sisi ambao wanawake hupata shida kutuambia hisia zao juu yetu je, mnawasaidiaje
 
Kama mwanamke anapita zake mwache apite, usimtokee, hayo ni mambo ya teenagers. Halafu siyo tabia nzuri, ni uhuni kumtokea mwanamke anayepita zake.

ila kama upo kwenye basi, mpo dukani, mmetoka kanisani mnapeana mkono wa heri, mpo chuoni pamoja etc..
Ni vizuri kuwe na kitu kinachowajumuisha, otherwise tafuta rafiki yake umwambie unampenda rafiki yake, there's nothing wrong with it and it's more respectful na uta-stand more chances.
Lazima kuwe na kitu kinachowaunganisha.
Sahihi mkuu,

Mimi siwezi kutongoza wala kusimamisha mwanamke ambae nmekutana nae tu njiani anapita zake hata kama anavutia ( Hiyo ni principle yangu )

Labda nkutane nae mara kadhaa, Yani iwe ni sehemu ambayo ntaanza kumuona mara kwa mara kutoka siku ambayo nmemuona kwa mara ya kwanza...Hapo najua ntaanza na salamu za hapa na pale mpaka kutimiza lengo langu.
 
Mbona kutongoza ni rahisi lakin jinsi mnavyoandika mnaonyesha kabisa hamjui kutongoza? Hivi mmeshawahi kumiliki hata demu kweli?

Nikiwa form one nilikua na mbinu moja tu ya kutongoza ndo nilikua natumia kila mahali[emoji1] ilikua namuangalia dem machoni muda mrefu bila kumwambia kitu akiniuliza mbona unaniangalia sana namjibu "kwasababu napenda kuona vitu vizuri" akianza kung'ata ng'ata kucha kabla hajafanya comeback nikaishiwa maneno namaliza kwanza mchezo.

Sasa wenzangu kutongoza hamuwezi kabisa mmeshakua watu wazima ila mbinu zenu ni zile zangu za chekechea
Wengine hata kutongoza hatutongozi, Tunajikuta tu mzigo tumeshapewa...Sasa hapo tunaamua iwe ni mahusiano au upite na zako....Yote kwa yote saizi sitaki kabisa kuchezea dada zetu hawa nmeumiza wengi kwa mtindo huu nafeel guilty kinoma.
 
Back
Top Bottom