Yaaan anaweza kimbilia hata kwenye kikundi cha watuMkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :
Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....
Apo pa kukubali kuoneka chizi ndo uwa NI pagumπHiyo ni simpo sana sema mara nyingi hamna formula ya moja kwa moja. Kikubwa ni wewe kwanza usiwe na aibu hafu kubali kuonekana chizi kwa muda yani mpaka pale atakapoingia kwenye angle zako.
Kwani Wewe ni pisi Kali?Nikifuatwa nyuma wakati natembea huwa naogopa na ninaongeza mwendo kumkwepa.
Labda kuna wanawake wanapenda kufuatwa hiyo style yako. Sijui.
Hiyo pekee ni courage tosha [emoji1787][emoji1787]... Siyo kila mtu ata afodi kujitoaApo pa kukubali kuoneka chizi ndo uwa NI pagum[emoji23]
Yaan nakuambia mngejuaga jinsi tunavovunjaga heshema zetu kuwafata mngekuwa mnatulegezea Sana, sasa lingine utasikia "namba zangu za nn? Au ili iweje ? Au sitaki? Au baada hapo?Huwa mnateseka[emoji23][emoji23][emoji23]
Amwamkie au amtukane[emoji23]eti afanyeje?
[emoji23]
Ajabu wanawake mpo humu na mwana anavyohangaika kutafuta mbinu mnamwona lakini hamumpi ushirikiano kuhusu uzoefu wenu achen izo mpen mwana mbinu
Tunachanganya nini? Kila mwanamke ni individual kuna vitu yeye mwenye anapenda.Sasa mbona mnatuchanganya jaman
Wewe ndio pisikali?Kwani Wewe ni pisi Kali?
Inategemea unafatwa na mtu wa aina gani.. kwa mtu kama mimi nikikufata kwa nyuma na ukageuka kunitizama lazima ulegeze mwendo.Nikifuatwa nyuma wakati natembea huwa naogopa na ninaongeza mwendo kumkwepa.
Labda kuna wanawake wanapenda kufuatwa hiyo style yako. Sijui.
Sana na tukiwakamata mnaanza nyie kuteseka mpk mwisho wa Mapenzi.Huwa mnateseka[emoji23][emoji23][emoji23]
Nameless atakuponza..Mkimbilie Halafu, Mshike kwa mikono na, mwangalie ndani ya macho, mpeleke kando na umwambie :
Commit a crime and I'll be your defender
Overpower me so that I surrender Hmm,
I wish I could be your saliva
So that I could taste your lips whenever....
Kwako nafikiri mbinu yangu itakunasa.Tunachanganya nini? Kila mwanamke ni individual kuna vitu yeye mwenye anapenda.
We unione natembea alafu unifuate kwa nyuma unanichombeza sikioni? Si nitakuona kichaa nikukimbie?
ππππ yuck!Samahani ikiwa nitakukwaza Dada, kiukweli umejaliwa neema za kipekee sana kiuumbwaji, hakika unaonekana una mema zaidi ya haya nionayo kwa macho ya nyama katika mwili wako kiuumbwaji.
Naitwa Mr Baba lao, je wewe waitwa nani Mama?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sisi weusi ni cheusi mambo ππππCheupeee maamboo........... nimesha kuanzishia sasa endelea