Yaaani najua kweli mambo yanavyofanyika na unajua wanatapeliwaje (sijui hata kwakweli so niache BAKI NA forex YAKO)Hebu mkuu elezea utapeli unaofanyika kwenye forex. Mimi nataka nikualike ofisini kwangu pale Tanzanite Park uje unielekeze watu wanavyotapeliwa kama huwezi kueleza hapa. Ntakulipia usafiri na disturbance allowance.
Maana unaonekana unajua sana mambo yanavyofanyika.
Mkuu kama ulikuwa kichani kwangu vile.FOREX siyo biashara ya kila mtu kufanya hapo ndipo watu wanakosea. Mfano siyo kila mtu anaweza fanya biashara ya genge au duka ndo maana kuna mwingne anafanikiwa na mwingne anafail.
Kwa tz forex ni kitu kipya ndo maana watu wanadhani ni DECI na ni ajabu kuna watu na degree zao wanafananisha forex na DECI sijui huko vyuoni walienda kusoma ujinga
TUONEENI HURUMA basi mnajua mnavyoweka hayo ma link yenu kuna raia wana katabia kautamani sasa wqki click wataenda kukutana na maneno matamu mwisho Wataumia..tuacheni basi Link zenu bakini nazo Pigeni Heraaaa tu Hamna shida,tutakuaje matajiri wote banaFOREX ni biashara kubwa, usitegemee kufanya forex kwa akili nyepesi isiyokuwa na focus wala consistency, achilia mbali tabia zenu za kukimbia maarifa na vitabu. Angalia live forex trading hapa:
Live Forex Trading
I found the YouTube channel below to genuinely try to provide free live Forex training and professional advice. Live Forex Trading - EURUSD, AUDUSD, GBPUSD, NZDUSD, USDCAD, USDCHF,...bit.ly
Mkuu kama ulikuwa kichani kwangu vile.
kawasakizia wenzie watie mitaji kwenye biashara isiyoweza kulinda mtaji na kuwasababishia hasara ya karne.Kwa hiyo hapa ndio katapeli mtu?
Pay salute forex huiwezi. Acha. Ila usipomdee wanaofanya.Yaaani najua kweli mambo yanavyofanyika na unajua wanatapeliwaje (sijui hata kwakweli so niache BAKI NA forex YAKO)
bora umekaa mbali isije kukuletea stress maana haina lelelmami hata nna la kusema maana ndio nshakubali FOREX siiwezi basi nimekubali kuwa mpenzi mtazamaji
@forextanzania hiyo hapo mkuuNaomba link mkuu... At lst nitaelewa
Haikubali mkuu@forextanzania hiyo hapo mkuu
ukitaka kuona maajabu ya NUHU nenda huko kwenye Freee utaona kama hutoacha hela huko tena wewe mwenyeuweeeeKuna machalii kule Facebook wamenda kabisa na seminar for free Serena hotel
Sijui wanapata WAP pesa ya kulipia venue na wanajilipa lipaje
Bongo kweli nyoso vyuma vimekaza aisee
umetoa mfano mzuri sana walai....Aseee bangi siuzi hapana🤣🤣 (umejua ku lenga kwa mfano hai🙌🙌)Forex ni biashara kama biashara nyingine...Nakupa mfano hai Nimeuza sana Bangi yes Bangi nineuza mnoo.Jaribu na wewe kuuza Bangi uone patashika lake.
Ok nakutumia pmHaikubali mkuu
Forex is not for everyone.
Naomba link mkuu... At lst nitaelewa