Mnachokitafuta kwenye forex mtakipata endeleeni

imekufanyaje kwani mkuu hiyo forex?
 
imekufanyaje kwani mkuu hiyo forex?
wala haijanifanya kitu...na sijui kama itanifanya kitu labda huko uzeeni nikiwa sina nguvu ya kutembea ndo ntakua na fanya yangu chumbani saiyo nshakua BABU
 
Hii kitu unatakiwa usiwe na upungufu wa akili//huku unawaza leo mkaa haujauzika huku unawaza kutrade forex ////nyambafu
 
Na wa mikeka je???
 
Acheni ujinga hivi kuna mtu anaruhusiwa kuendelea na shule kidato cha pili, tano au kwenda chuo bila ufauru Nauliza? Sasa forex km hutaki kusoma yaan ww mvivu utaunguza nasema utapunyuliwa Sana km ulizoea uangalizie chuon au class fln ndo upite au uishi kwa kuvizia majibu kutoka kwa wenzako wanaojitoa usiku na mchana kusoma ww utembeleee nyota yao kwenye fx no nasema No huku kila mtu atakula kutokana na jasho lake
 
Na wa mikeka je???
BORA HATA HAO...unajiekea mkeka wako unafanya yako ila FOREX kuna sjui BROKER sjui nani yani mtu anafanya mafekeche upasuke ili yeye alambe dodo huu si ndo ushubwada wenyewe
 
Mawazo yako na yangu ni sawia kabisa bro ! Watu wanadhani forex ni biashara ya kuuza mkaa NO /// upo vzr sana bro maana na me naishi kwa kutegemea hii kitu na sijawahi kujutia
 
Ilisikika sauti ya Simba wa...... ikiunguruma pale alipokuwa akikishuka kile kilima kuingia lango la Mji
 
ukitaka kuona maajabu ya NUHU nenda huko kwenye Freee utaona kama hutoacha hela huko tena wewe mwenyeuweeee
Ndio mana mm nafanya tu yangu seminar za kipumbav ambazo WAP hawanip pesa natemana nazo ntafute ugali wa watot njia ya chooni isiote majan
 
BORA HATA HAO...unajiekea mkeka wako unafanya yako ila FOREX kuna sjui BROKER sjui nani yani mtu anafanya mafekeche upasuke ili yeye alambe dodo huu si ndo ushubwada wenyewe
mkuuu hahahahahaba
 
Mkuu naomba niunganishe na hilo chimbo la 7000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…