Tubadilishane namba za simu nipe za mke/mpenzi wako PM na mimi nakupa za mke wangu PM...kila mtu afanye kazi yake.Hicho ulichopost kwenyw huo uzi kinaonesha we ni mtu wa aina gani na mentality yako kiujumla.
Kwa mentality hiyo kubebewa mke hata si kazi...
Zwazwa ni yule ambayo anaishi kama tupo iron age wakati sasa tupo information age. Akili za kijima hizo.ma zwazwa identity yao inalingana na yako sasa unapomuita mtu zwa zwa wakati sifa zote za uzwazwa unazo wewe nashndwa kukuelewa.
na wewe endelea ku FOREXIKA wanaofanya REAL FOREX hawana aina ya maneno yako..type yako mnajiweka kundi la wazee wa FOREX ili mpate attention muonekane na nyie watu kwenye watu,blal Ful endelea tetea usichojua.Yaani wewe jamaa ni mjinga kama mavi, Sasa kitu hakina faida unakishobokea cha nini inaonekana kabisa kilikushinda au uliwekeza ukapigwa, au ulipata wajanja wakakupiga ndio umekuja kujifariji. Stress lazima ungepata tu sababu kichwani mweupe kama sembe. Huwezi jua stress za kitu kama hujakipitia.
Wewe endelea kuuza mchicha na vitumbua huku kwingine kutakutoa kamasi.
kumbe shida ni kwamba unaipenda na unajua kuna potential ila hutaki kujifunza na kuelewa sasa kama huwezi kaa tu kimya...and it looks like ulipewa kielimu cha siku mbili ukaaanza kutrade bila kujua unaenda wapi ukaishia kublow account....if u cant find a right education and knowledge blowing account will be your middle name,,,..... am doing it for living and takes me 2 years to understand what it ismmmmmh hhhm mimi huyu! kwani wateja wa dagaa na vitunguu wameisha hadi nije huko? Kwanza FOREX nshaona ili utusue ni lazima uisome uielewe tena na kitabu ushike..sasa mambo ya kurudishana class mi siiyataki.
Nshazoea ki tecno nakinunua 7000 nakiuza 25,000 napata hela yangu kilainiiiii...ila mambo ya kusoma soma mi staki kwanza.
usi BET maisha yangu aseee..nani kakwambia nimewahi TRADE?? sijawahi fanya aina yeyote ya hiyo biashara yenu..we endelea kufanya unachoona ni sahihi.kumbe shida ni kwamba unaipenda na unajua kuna potential ila hutaki kujifunza na kuelewa sasa kama huwezi kaa tu kimya...and it looks like ulipewa kielimu cha siku mbili ukaaanza kutrade bila kujua unaenda wapi ukaishia kublow account....if u cant find a right education and knowledge blowing account will be your middle name,,,..... am doing it for living and takes me 2 years to understand what it is
because that whats it looks like....yeah do what you gotta do and stop saying shit which you don't even understand,,,and by the way how much do you make per month in that business of yours(selling cell phones)? no disrespect just askingusi BET maisha yangu aseee..nani kakwambia nimewahi TRADE?? sijawahi fanya aina yeyote ya hiyo biashara yenu..we endelea kufanya unachoona ni sahihi.
hapo angalau umemaliza ubishi mtoa mada Ngeli haipandi hawezi kuendelea na mdahalobecause that whats it looks like....yeah do what you gotta do and stop saying shit which you don't even understand,,,and by the way how much do you make per month in that business of yours(selling cell phones)? no disrespect just asking
Aka kamsemo wanao trade wanakapenda,ha ha ha haForex is not for everyone [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ha ha ha ha ,,,,,,,,Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Halafu wakipigwa hela utasikia. Ngoja nijipange upya. Sijui inawa cost kiasi gani ku admit kwamba the all staff sio rahisi kama wanavyotaka kuwaaminisha watu.Aka kamsemo wanao trade wanakapenda,ha ha ha ha
Hizo ungezitumia kuanzisha biashara yako mwenyewe, ungekuwa mbali sana. Kuliko kung'ang'ana na maisha ya zipu ya pochi. Ukisikia pesa zinapatikana kirahisi, basi mnajazana ujinga. Vijana amkeni, mta dentiwa.Creativity+knowledge+perseverance+skills=success in FOREX!!!
Mkuu nitumie ya sodaSijui mimi Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pambaneni na hali zenu