Mnada wa korosho wasitishwa baada ya kukosekana mnunuzi

Mnada wa korosho wasitishwa baada ya kukosekana mnunuzi

Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kwa masikitiko makubwa kuwa mnada wa korosho umesitishwa baada ya kampuni za wanunuzi kukosekana! .

Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu ya tano wakiwa kimya kabisa kana kwamba hawajui kinachowatokea wakulima wa korosho mwaka huu.

Je, wakulima wa korosho watetewe na nani?

Nguvu ya Nape, Zitto, Membe kulisemea zao la korosho imeenda wapi?

View attachment 1994504
Shida kubwa kuingiza siasa kwenye biashara.
Magufuli alisema atanunua korosho yote na kuisafirisha kwa jeshi, akaangukia pua.
Wakulima wakaumia.
Awamu ya sita wanasema korosho yote isafirishwe bandari ya Mtwara ambako meli za kupeleka kwa wateja hazifiki.
Nani atanunua korosho iozee bandarini.
Wakulima wanapigwa mara ya pili!
 
Alieipa thamani korosho ni kikwete, maana aliwekeza kwenye utafiti na uzalishaji uliongezeka zaidi, soko la korosho lilikuwa zuri sana mwaka 2015 na 2016.
Hivyo jiwe akaona wakulima wanafaidi kwa kupata gawio zuri zaidi bilion 180 akaona achukuwe yote.
Jamaa alikuwa katiri sana

IMG_9547.PNG
 
Soko huwa linatafutwa na linalindwa. Ukilivuruga, huwezi kuamka na kulipata tena maana siku zote wapo wanaotafuta masoko. Na hicho ndicho viongozi wengi wa serikali hawajui. Unakuta mara waziri mkuu anainuka na kusema, kuanzia leo marufuku kupeleka mahindi nje ya nchi, halafu baada ya muda utasikia, tumeruhusu mahindi kuuza nje! Hopeless kabisa. Watu wanahangaika kutafuta soko, unavuruga, halafu baadaye unasema eti wauze nje. Huko nje walikuwa wamekaa wanakusubiria wewe? Ukisikia hivyo, unakuwa huna shaka kuwa wajinga wamejikusanya, wapo huko serikalini kwaajili ya kuwaharibia wenye uelewa.

Soko la korosho alilivuruga marehemu, itachukua muda mpaka kuwa na soko la uhakika tena maana wanununuzi wakubwa waliokuwa wanapokea korosho toka TZ walikwishapata suppliers wengine.

Kwenye katiba mpya, iwekwe kabisa sheria kuwa kiongozi akitoa amri inayoathiri uchumi wa wananchi au nchi, ashtakiwe kwa kosa la uhujumu uchumi.
Na hilo ndio tatizo la serikali zetu,kufungua mdomo kabla ya kuunganisha ubongo.
Bei ya mazao ya biashara inayumbishwa kwa kiasi kikubwa na serikali.
 
Sasa wanataka Nape na Zito wafanyaje ? Kama bidhaa yenyewe haina soko sasa wanunuz waje wafanyaje sasa ?

Ifike kipindi tusichezee wanunuzi (wafanyabiashara)
Wapige kelele
 
Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kwa masikitiko makubwa kuwa mnada wa korosho umesitishwa baada ya kampuni za wanunuzi kukosekana! .

Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu ya tano wakiwa kimya kabisa kana kwamba hawajui kinachowatokea wakulima wa korosho mwaka huu.

Je, wakulima wa korosho watetewe na nani?

Nguvu ya Nape, Zitto, Membe kulisemea zao la korosho imeenda wapi?

View attachment 1994504
Labda magufuli ndo anasababisha wanunuzi wasije kwa kuhalibu buashara ya korosho.

Hao watetezi wao wasema kama magufuli bado yupo, na kama hayupo basi watafute wanunuzi waje wanunue.
 
Labda magufuli ndo anasababisha wanunuzi wasije kwa kuhalibu buashara ya korosho.

Hao watetezi wao wasema kama magufuli bado yupo, na kama hayupo basi watafute wanunuzi waje wanunue.
Hawana akili wanachokijua ni kupiga dili tu
 
Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kwa masikitiko makubwa kuwa mnada wa korosho umesitishwa baada ya kampuni za wanunuzi kukosekana! .

Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu ya tano wakiwa kimya kabisa kana kwamba hawajui kinachowatokea wakulima wa korosho mwaka huu.

Je, wakulima wa korosho watetewe na nani?

Nguvu ya Nape, Zitto, Membe kulisemea zao la korosho imeenda wapi?

View attachment 1994504

6879E520-CC10-4522-8CB1-40B0D1D3EEEC.jpeg
 
Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kwa masikitiko makubwa kuwa mnada wa korosho umesitishwa baada ya kampuni za wanunuzi kukosekana! .

Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu ya tano wakiwa kimya kabisa kana kwamba hawajui kinachowatokea wakulima wa korosho mwaka huu.

Je, wakulima wa korosho watetewe na nani?

Nguvu ya Nape, Zitto, Membe kulisemea zao la korosho imeenda wapi?

View attachment 1994504
Lengo ni kuwanyonga bei wakulima,na walanguzi watafanikiwa tu,wakulima hawana mtetezi
 
Back
Top Bottom