Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

Choo chako hakina snorkel za kupumua nje au ndio umeweka ventilation ndogo sana kama kidirisha cha kununulia luku!
 
Asante aisee. Kuna jambo huwa linanifikirisha kidogo. Ile harufu haitoki chembani. Yani nionavyo, ni kimba fresh kabisa vile mtu kamaliza akitoka tu, balaa. Pengine hiyo size na madirisha makubwa yaweza saidia. Asante sana ndugu

Asante sana
Kuna masela wanaachiaga makimba size ya matoke 😂 unakuta ngoma inaelea imegoma kupelekwa na gharika ya cistern
 
Hili tatizo lipo kwangu aisee. Helbow ya chumbani imepishana kidogo. Sasa hivi natumia hichi choo kwa ajili ya kuogea na haja ndogo tu
 
Shida huanza na designing ya nyumba wakati wa ujenzi. Choo ni sehemu very private ambayo unatakiwa uiseti katika kona very private kwenye nyumba au eneo la nje ya nyumba.

Kuna nyumba unakuta mlango wa choo upo open eneo la sebuleni mtu anakuona ukiingia na kutoka kwann kikitokea kizungumkuti huko ndani habari zisifike sebuleni na kuleta fedheha kubwa¹.1111
 
Mara nyingi choo cha mtu kikiwa na harufu kali huwa ni changamoto inayoitwa constipation. Choo kimekaa muda mrefu kwenye mfumo wa kutoa taka mwili so kikitoka Babu hiyo smell yake mzoga unasubiria.....
 
Choo kuna namna ya kukiset katika upande wa nyumba ambao watu hawawezi jua nani anafanya yake au hata kusikia mizinga 21 ikiwa inapigwa kutoa heshima kwa wageni wa waalikwa.

Cha msingi wakati wa kusanifu jengo ni vema kila chumba kiwekwe kwa minajiri ya future desires na matarajio. Sio umemaliza ndipo uanze kutathimini sasa ubora.
 
Hiyo Utrap ni muhimu sana wala si tatizo katika mfumo wa choo cha ndani.

Shida ni location ya choo kwenye nyumba lakini pia mtumiaji nae umakini wake.....

Unatakiwa unaposhusha mzigo unazindikiza salamu zako na kopo moja la maji ili mzigo ushuke.
 
Kuna sabuni ya kuoshea choo ninatumia hakuna mtu amekuja akakosa isifia. Unamwaga tone kidogo balaa lake inapambana na harufu kama vile polisi inavyopambana na Chadema.
 
Asante aisee. Kuna jambo huwa linanifikirisha kidogo. Ile harufu haitoki chembani. Yani nionavyo, ni kimba fresh kabisa vile mtu kamaliza akitoka tu, balaa. Pengine hiyo size na madirisha makubwa yaweza saidia. Asante sana ndugu

Asante sana
Kuna watu wakiwa constipated ni mtihani. Akishusha mzigo balaa lake linaweza kudumu siku nzima.

Shida watu mboga za majani na matunda wanaonja badala ya kula. Maji na juice ni hadi wapewe ila hawatumii.
 
Kitoe kitu huku ukimimina maji kunako sink
Yaani kisiweke pause kunako sink kiende direct.
 
Tumia cha nje mana sometimes cha ndani n fedheha
Ndio maana wanasema ule ustaarabu wa choo cha nje still inabidi tuuendeleze kwasababu kwa wale wenyeji wenye nyumba ndogo, kusikia mizinga ni rahisi sana. Sasa ukiwa na choo cha nje inakuwa nafuu ingawa swala la usafi still lipo pale pale
 
Kuna mshikaji huwa haflush akishamaliza kutuma salam kwa watu watatu. Huwa ananikwaza sana nashindwa kumwambia sababu si swala la mtu mzima kutojua......

Unajua matumizi ya choo cha ndani yanahitaji usafi wa kiwango cha juu sana.
 
tumia sabuni za chooni zile za maji zina perfume kali sana, mtu akiingia chooni kabla ya kufanya chochote anamwaga kwanza kidogo chini na kuisambaza na maji kidogo akiwemo kwenye sink lenyewe na nje ya sink. kwa njia hii ata kimba liwe na harufu gani hutokaa usikie harufu.

Na ukishindwa hii ya sabuni basi wewe nunua air fresher iwe inapulizwa kabla na baada ya kuanza kupii .

solution mama kabisa ni ustaarabu ,hakikisha choo kina maji ya kutosha na kiflashiwe na maji ya kutosha ili kuhakikisha mzigo wote umetolewa nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…