Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
[emoji2960][emoji2960] kumbe
Walisema mumewe kazaa na mtu mwingine
 
Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Anafikiri wabongo wajinga, hela za mgao wa CMG kwenye share za hayati boss ndizo anazotambia mjini. Kila mgao ukitoka mpunga mrefu unaingia kwanini asi ball ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona hushangai kwanini Dada yako hajahongwa hata tu Baiskeli na yupo yupo tu kama Gari ya Mkaa Tripu Shamba Tripu Gereji?
 
Anafikiri wabongo wajinga, hela za mgao wa CMG kwenye share za hayati boss ndizo anazotambia mjini. Kila mgao ukitoka mpunga mrefu unaingia kwanini asi ball [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Kuna ukweli kwa hili kumbuka shabani Ana tickets za royal family
 
Mbona hushangai kwanini Dada yako hajahongwa hata tu Baiskeli na yupo yupo tu kama Gari ya Mkaa Tripu Shamba Tripu Gereji?
Dada yupi genta unamsema mnk mm dada angu wa mm kaongwa matako ya nyani [emoji23][emoji23]sasa cjui Ni yupi unamsema
 
Na Sura yake Mbaya kama Nyati anajisaidia Haja Kubwa kuna Boya kweli anaweza Kuthubutu tu Kumhonga hiyo Gari unayoisifia hapa?
Tatizo lako wew mzanaki umeadhiriwa na dhana ya usocialism ndio maana una hasira Sana na matajiri Ni Kama babu yako tu .....simtaji jina ila haCha hizo roo mbaya,husda ,fitina kwa matajiri au kwa walio barikiwa kuwa nacho ambacho wew na ukoo wako hamjawai miliki Mali hyo walizo nazo wengine

Kaka Autobiography Ni gari[emoji41],Ni mashine Kali hazipo bado kwa watz wengi ila dada etu mmoja ndugu yetu zamarad amebarikiwa kuw nalo tumpongeze na tumuombee kwa mola IPO siku na wee utafanikiwa kuonga hata ki raum au ist ueshimike na mkeoo

Lala mzee kesho tukutane kwenye michezo najuwa unapandisha Uzi lzm kuisifia yanga na kumponda matola
 
Gari anayotumia wife nilinunua mimi

Asante kwa kumpa ukweli huyu mpuuzi aliye na wivu ,husda roo mbaya ,jinga kbsaa huyu Agera 1
Will you marry me
 
Gari anayotumia wife nilinunua mimi



Will you marry me
Bas hongera Kam umelinunua wewe sasa kwann una mkasirikia zamaradi au ulimtokea nn akakutolea nnje ndio maana umefoka ktk Uzi wangu
 
Huu ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Gari tu unahamaki?
Pitia kariakoo uone wakinga wanavyo honga magorofa.
Puche haijai kwenye sahani, lkn kwa wanawake wanaijua kuitumia vizuri wanatoboa.
Angalia yule waziri awamu ya muondokaji kwa Sasa ametemwa ya kipare ilivyokua inamtesa. Angalia huyu wa Sasa anayemwaga mamilioni ili puche iende falme za kiarabu.
 
Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Watu mnajua Mambo ya watu hapa mujini.......
Shamte me naye kaingizwa tu asije akajisahau Sana maana Hana muda mrefu mkataba utaisha.
 
Kwa kupenda show off zisizo na maana๐Ÿ˜‚ kuna mlevi namskia hapa anasema kajinunulia ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ