Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ungeishia whaaat?!!??acha apewe life ndo hili hili...!!!
Ila Zama anaonekana ana utulivu sana ktk ndoa au akiwa na mwanaume hua anaridhika mnooo
Zama anajua handling ya mume no doubt, mwanaume kufikia hatua ya kufanya kitu cha aina hio ni kuwa ana highest degree of respect kwako. I wonder kuwa ni mtamu kihivyo ila kwa tabia inaonesha yuko njema sana.
 
Mkuu Kuna ukweli kwa hili kumbuka shabani Ana tickets za royal family
Kwa aina ya biashara anayofanya kuna uwezekano mkubwa wa kuhonga hio gari.
130M sio hela nyingi kama una capacity ya kufunga 5M in each week. Na kama ana connections na mjomba wake katelephone means ana uwezo wa kuchukua tenders za ku service v8 za serikali with beefed up invoices. Gari moja tu inaacha 10M ukipewa 10 kila mwezi a 100G is eazy money bruh.
 
Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Iko hivyo
 

Unahangaika hivi una mnunulia mkeo smartphone anaona zamaradi kahongwa range ,anaaza kukuona hufai mbona naye humfanyii kama mume wa zamaradi, isee wanasau kila mtu mungu humpitisha njia yake kwenye maisha, hata wewe Dada Shukuru Mungu kwa maisha ulionayo ndio safari yako,sio kwamba una nuksi BT safari ya maisha yako sio hiyo aliyo pita zamaradi !!
 
Zamaradi ana fanya kazi gani ya kumfanya anunue Range Rover Vogue?? Na kama kanunua kwa pesa yake basi anastahili pongezi mnoooooooooo mkwanja anao
Nilitaka kukushanga Kama utakwenda kinyume na [emoji23][emoji23] mm ,mnk huwa nakueleewa Sana jinsi mlivyo mbana mkuu wa fasihi akatokomeaa kusiko julikana


Mm sioni tatizo awe kajininulia au amenunua kikubwa tumpongeze
 
Easy Sana kwake kupata access na pia gari hiyo mkuu nilisiki muagizaji wa gari akiojiwa na kusema Ni mashine na Bei zake Ni mkasi pia m 270 mpk 280 Ni sahih kbsa Ila lzm jamaa anaonja asali vzr ndio maana katoa gar hiyo
 
ujinga kivipi?...au wewe unapungukiwa nini yeye kuonyesha?....wabongo mbona mnapenda sana kuwachagulia watu mitindo yao ya maisha?.
Exactly hi ndio hoja yangu mtu anampangia mtu maisha yake as if yey ndio anamlisha ,mtu unakereka VIP mtu akipost gar lake mtandaaoni ??
 
Easy Sana kwake kupata access na pia gari hiyo mkuu nilisiki muagizaji wa gari akiojiwa na kusema Ni mashine na Bei zake Ni mkasi pia m 270 mpk 280 Ni sahih kbsa Ila lzm jamaa anaonja asali vzr ndio maana katoa gar hiyo
Eeh jamaa analamba asali, yuko kwenye Asali Wings πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ za CCM bila shaka.
 
Alfu Mkuu Extrovert umesisikia bond za nbc bank wanatoa 10% kila mwaka je umesisikia na je zinalipa au uzushi tu

Wanasema wanatoa kila baada ya miezi sita unakula faida embu fatilia alfu unitonjee mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…